Hivi umeswali swala ya magharibi?
Naona unapoteza muda
Wanajamvi mambo zenu.
Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.
wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu
Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi zinavyofurika meseji za mitongozo.
najiuliza kwanini ukimbilie huku? Huko mtaani hamuwaoni?
Mpaka Leo bado kuna wanaume madomo zenge?
Emu nisaidieni shida yenu nini hasa? Au niwafundishe namna ya kutongo.za?
Angalau Leo umeongea kiume bwana mdogomoniii;
Kweli tutakumiss sana huku kitaa. Sa umekuwa Mrs basi tena. Itakuwa ni kuku PM tu hakuna njia nyingine. Tukisubiri utoke tena nje hata kwenda markiti ni hola tu kwani mbegu zimekuunguza huwezi tembea.
Dah! Hata kwenye PM umetufungia. Kweli kuolewa kutam jama. Ila monii, tulia kidogo, usianze kuudhara mwiba. Yawezekana hao hao wanao ku PM si madomo zege ila wamengojea sana getini utoke wakuwekee mbegu baridiiii on the rocks hakika. Kwa jinsi ulivyo sharp usiache kuja kutueleza wanaume wa jf walivyo marijali
Mwaaaaa .....mwaaaaa .....mwaaaaa ....ila babu asioneLoooooooh!!! Na mimi nataka hiyo mwaaaaaa rafiki!
Looooooooh!!! Asante rafiki, hadi nimenenepa ghafla!![emoji4] [emoji4] [emoji4]Mwaaaaa .....mwaaaaa .....mwaaaaa ....ila babu asione
Nakuheshimu sana tena nimekujibu kiungwa naona wataka kuvuka mipaka
Angalau Leo umeongea kiume bwana mdogo
[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji87] [emoji87] [emoji87]Vipi mbegu za mume wako zimeacha kukuunguza
Usinenepe sana mana kitambi utaharibu.Looooooooh!!! Asante rafiki, hadi nimenenepa ghafla!![emoji4] [emoji4] [emoji4]
Zile zilikuwa fix nadhaniSorry wewe si ulisema umepata mchumba hapa JF?
na umeshaolewa ?
si yalianzia PM? au?
teh!teh!!teh!!!..... Mbona nasikia wadada huwa mnavipenda vitambi kiaina rafiki?Usinenepe sana mana kitambi utaharibu.
Usidanganyike na avatar humu...ila wapo vigoli na vibibi humuhumu ndio ubahatishe sasa.. lolest