PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

Wanajamvi mambo zenu.

Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.

wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu

Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi zinavyofurika meseji za mitongozo.

najiuliza kwanini ukimbilie huku? Huko mtaani hamuwaoni?

Mpaka Leo bado kuna wanaume madomo zenge?

Emu nisaidieni shida yenu nini hasa? Au niwafundishe namna ya kutongo.za?

"Sifa za Kijinga"
 
moniii;
Kweli tutakumiss sana huku kitaa. Sa umekuwa Mrs basi tena. Itakuwa ni kuku PM tu hakuna njia nyingine. Tukisubiri utoke tena nje hata kwenda markiti ni hola tu kwani mbegu zimekuunguza huwezi tembea.
Dah! Hata kwenye PM umetufungia. Kweli kuolewa kutam jama. Ila monii, tulia kidogo, usianze kuudhara mwiba. Yawezekana hao hao wanao ku PM si madomo zege ila wamengojea sana getini utoke wakuwekee mbegu baridiiii on the rocks hakika. Kwa jinsi ulivyo sharp usiache kuja kutueleza wanaume wa jf walivyo marijali
 
moniii;
Kweli tutakumiss sana huku kitaa. Sa umekuwa Mrs basi tena. Itakuwa ni kuku PM tu hakuna njia nyingine. Tukisubiri utoke tena nje hata kwenda markiti ni hola tu kwani mbegu zimekuunguza huwezi tembea.
Dah! Hata kwenye PM umetufungia. Kweli kuolewa kutam jama. Ila monii, tulia kidogo, usianze kuudhara mwiba. Yawezekana hao hao wanao ku PM si madomo zege ila wamengojea sana getini utoke wakuwekee mbegu baridiiii on the rocks hakika. Kwa jinsi ulivyo sharp usiache kuja kutueleza wanaume wa jf walivyo marijali
Angalau Leo umeongea kiume bwana mdogo
 
Ukichanganya Mchele na Mchanga ni shida angalau changanya "Pumba na Mchele" Utapepeta.......... Done... and Left
 
Vipi mbegu za mume wako zimeacha kukuunguza
[emoji23] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji125] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji125] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji30] [emoji87] [emoji87] [emoji87]
 
Back
Top Bottom