PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

PM za wadada wengi wa MMU zimejaa meseji za mitongozo

Afu na hiki kimvua uko busy tu unaandika huu uzi, kama nati imelegea leta ikazwe.
 
Watu wenye kupenda ngono na wazinzi utawajua tu hata mada zao hapa,mleta uzi hapitishi siku 2 bila kuleta uzi unaohusu mambo ya kugegedana tu
 
Wanajamvi mambo zenu.

Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.

wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu

Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi zinavyofurika meseji za mitongozo.

najiuliza kwanini ukimbilie huku? Huko mtaani hamuwaoni?

Mpaka Leo bado kuna wanaume madomo zenge?

Emu nisaidieni shida yenu nini hasa? Au niwafundishe namna ya kutongo.za?
Wewe mme umempata humu kwani mitaani kweli nyani haoni kundule
 
moniccca Mdogo wangu uwe na siri, hawa wanaoku PM wanafanya hayo kwa kukuonea huruma na kuunguzwa uliko lia hapa jana au juzi, sasa nao unawaumbua😛
 
Wewe utakuwa comedian nimekustukia unayoyaandika hapa jf yote hayana uhalisia.
Ni kweli kabisa mkuu haiwezekani mtu na akili zake timamu awe na ujasiri wa kuzungumuza mambo ya hovyo namna au anatafuta umaarufu
 
Wanajamvi mambo zenu.
Wanajamvi mambo zenu.

Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.

wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu

Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi zinavyofurika meseji za mitongozo.

najiuliza kwanini ukimbilie huku? Huko mtaani hamuwaoni?

Mpaka Leo bado kuna wanaume madomo zenge?

Emu nisaidieni shida yenu nini hasa? Au niwafundishe namna ya kutongo.za?


Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.

wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu

Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi zinavyofurika meseji za mitongozo.

najiuliza kwanini ukimbilie huku? Huko mtaani hamuwaoni?

Mpaka Leo bado kuna wanaume madomo zenge?

Emu nisaidieni shida yenu nini hasa? Au niwafundishe namna ya kutongo.za?
tutake radhi tafadhali kwa maneno yenye red,hasa mimi,sijui wenzangu kama wameridhika
 
moniccca Mdogo wangu uwe na siri, hawa wanaoku PM wanafanya hayo kwa kukuonea huruma na kuunguzwa uliko lia hapa jana au juzi, sasa nao unawaumbua😛
Dada angu nikweli lkn wamezid yaani mpaka PM yangu imejaa, ukizingatia mim ni mke wa mtu now akiomba achungulie kwenye ID yangu unadhani ntakuwa na ndoa tena?
 
Wanajamvi mambo zenu.

Nimegundua jukwaa hili limejaa wanaume wasio na mtazamo wowote zaidi ya ngono.

wanaume wapo kwaajili ya kuvia mademu

Ukifuatilia PM za wadada wanachangia humu utaona jinsi zinavyofurika meseji za mitongozo.

najiuliza kwanini ukimbilie huku? Huko mtaani hamuwaoni?

Mpaka Leo bado kuna wanaume madomo zenge?

Emu nisaidieni shida yenu nini hasa? Au niwafundishe namna ya kutongo.za?
We PM za wenzio umezisomea wapi..?? AU mnaambiana..??
 
Dada angu nikweli lkn wamezid yaani mpaka PM yangu imejaa, ukizingatia mim ni mke wa mtu now akiomba achungulie kwenye ID yangu unadhani ntakuwa na ndoa tena?
Kama mumeo atakuacha kwa sababu umetongozwa, hataweza oa tena... Maana mwanamke hana control ya nani asimtongoze au nani amtongoze... COntrol aliyonayo ni kukubali au kukataa... LABDA KAMA PM YAKO IMEJAA KUSIFIA JINSI ULIVYOGEGEDWA NA ALIYEKUTONGOZWA HAPO KUACHWA KUTAKUHUSU
 
Back
Top Bottom