Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Teh teh..Mpendwa nimekoma kutongoza vitoto..Sasa huyu kumfwata tu pm anakuja kuanzisha uzi..Ningemgonga si angefanya press conference kabisa..
Ha ha ha mpendwa najua jina lako lipo make mme mwema atoka kwa bwana, ni nani hapa kama sio wewe
Hajatangaza kwa nia mbaya, yupo excited haamini kama Mungu angejibu maombi haraka kiasi hicho