PM zangu zimejaaa

PM zangu zimejaaa

He heeee!!! Ulitangaza biashara ili upate wateja sio?? Wateja wamekuwa wengi unalalamika tena?? Biashara ndivyo ilivyo kuna wateja wasumbufu na wenye maudhi, ukitaka ufanikiwe kwa jambo lolote shurti uwe mvumilivu
Hukuwa na sababu ya kutangaza humu kuwa unataka mume watu waje pm afu uje uwatangaze tena ulitaka waje wapi sasa?? Ebu jiulize kwa nini ule uzi wa kwanza watu walikusapoti lakini huu wametoka povu??
 
Hahhahahaa nakuombea mungu akuweke hai..utakua shahidi namba moja nikiolewa hata kwa kucoment au kuona thread yangu mwakani....yan umenipa mzuka wa kuzidi kukuombea kwa mungu uwe hai mwakani..yan mbona mzukaaa ngoja nipige goti sahiv maana naona kama nachelewa.

Utakuwa na Matatizo Si Buree....
 
Ha ha ha mpendwa najua jina lako lipo make mme mwema atoka kwa bwana, ni nani hapa kama sio wewe
Hajatangaza kwa nia mbaya, yupo excited haamini kama Mungu angejibu maombi haraka kiasi hicho
teh teh..basi hapo nimekuelewa uzuri..kumbe yupo excited..Nahisi ndo mana hajatutaja majina ili asitudhalilishe..Ngoja niendeleze ligi...Naweza kutafuna huyu
 
inaonesha ni namna gan usivyojiamin yaan ulivyofuatwa pm unaleta hapa? hivi kungwi wako ni nani? je huyo mume unayemtaka ulitaka akufuate wapi? ok kila la kheri lily

Tatizo umesoma comments na zimekupa hasira ya bure ndo maana umeniambia haya...ila mi sitakumind hebie sema tuu nasikitika hata ww pia umenipa za uso 😂😂😂😂😂 bila kuelewa huo ni utani au kweli...ila fresh haina noma.
 
teh teh..basi hapo nimekuelewa uzuri..kumbe yupo excited..Nahisi ndo mana hajatutaja majina ili asitudhalilishe..Ngoja niendeleze ligi...Naweza kutafuna huyu

Tafuna tu mpendwa vitu vyote vijazavyo ulimwengu ni vya bwana, hata huyu pia ni wa bwana....kula tu Paulo Sergio De Souz kajificha mwambie aje tu majina hayatajwi
 
Last edited by a moderator:
Alaf Kana hasira za karibu hako daah mpaka nimeshangaa !! Hasira za kijinga jinga na majibu ya kipuuzi
 
lilymashy mimi sitaki ndoa, nataka tuwe tunapeana "GOOD TIME" tu! hapo vipi?Tunapanga, tunakutana then tunaliangusha halafu kila mtu anasepa till cku tunaamua tena!!!
 
Last edited by a moderator:
nimekupata at least umenifunua akili maana nimejiuliza sana hizi vichwa mbona kama zimepata cheche hvi..kumbe sababu ni hyo hahhahaha nafunga mdomo wangu basi maana nilikua nna mood ya kujibu watu sana leo.thank u

Nijibu kwanza na mimi!
 
Mbona umepanic vepeee...unadaiwa au? Huoni kama inakugharimu kuongea maneno yote hayo kwa mtu usiemjua...hivi una akili kweli 😂😂😂😂

Wengi tulioko JF tunatumia IDs fake (wengi), comments na mitazamo yetu most likely siyo fake kama ID zetu zilivyo.

Utu wa mtu unausoma kwenye maandishi yake (ingawa kuna maandishi fake pia), nikukumbushe kitu kimoja mdogo wangu, wanaume kokote waliko hawapendi mtu mwenye ligi kama zako.

Jifunze kuwasoma utafanikiwa, watu walioko humu ndo hawa hawa walioko mtaani, makazini, makanisani na kwingineko.

Kama baadhi ya wadau walivyoshauri, tunapomwomba Mungu hatumwambii nilitee mume/mke katika mfumo huu, yeye anajibu kadri anavyoona ni sahihi, na huwezi jua inawezekana kaamua kujibu kwa namna ulivyoileta humu, na kama ungejipa muda wa kuchunguza, kwenye hao walioku-PM kuna aliyeletwa na Mungu.

Ushauri mwingine; kuna mtu umemjibu kuwa asubiri kushuhudia kwa sababu ni lazima uwe umepata mtu mwisho wa mwaka 2016, Mungu hapewi timeline, anajibu muda wowote anaoona kwamba unafaa, usilazimishe sana ukajikuta unaangukia mahali ambapo siyo kwa sababu shetani naye anacheza na desparation zetu kutujaribu. Hivyo kuwa makini kwenye machaguo, kwenye maneno yako na kwenye matendo yako pia.

All the best.
 
Halafu hii mambo yakutudhalilisha wazee wa PM uwache mara moja.
Kwanza vibinti type yako ni vibayaaaa....sura ngumu.
 
Back
Top Bottom