Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Teh teh..Mpendwa nimekoma kutongoza vitoto..Sasa huyu kumfwata tu pm anakuja kuanzisha uzi..Ningemgonga si angefanya press conference kabisa..
Umejuaje ni wazinzi?
😂😂😂😂😂alitoa na adress kabisa wakutane wazichape,jf raha sana wajameni
Mi ni mwanaume
Salt Wewe Si Me,futa Kauli Mkuu
Mi ni mwanaume bro
Weka screenshot tuthibitishe kama kweli.
Ww nyang'au kweli sasa ulikuwa unataka nn sasa ulikuwa unadeep umepigiwa unaanza kumunya munya pokea sasa pm imejaa siufute
Mi ni mwanaume bro
Mi ni mwanaume bro
we ni kinabo kweli mambo ya pm yanaishiaga pm huku umeleta kufanya nini,watu kama nyie ndio mnafanya mpaka tunadharau wanawake,kutongozwa tu umeleta kelele jamani sipati picha ulivyo mana nnavyojua wadada wa kali wenye shepu na akili zao huwezi kuona wakija na vitu kama vyako kujisifu kutongozwa ilhali wanataongozwa na wanaume zaidi ya 12 kwa siku we mwaka mzima watu 24 tu kelele, acha ulimbukeni punguani wewe,na ukipata mwanaume ukakaa nae hata mwezi 1 nakupa mil 100 ma nyie wanaume wenzangu acheni usengerema kuna watu wakutongoza sio haya majini.
Mbona umepanic vepeee...unadaiwa au? Huoni kama inakugharimu kuongea maneno yote hayo kwa mtu usiemjua...hivi una akili kweli
Usipoangalia kwa ujinga huo utadoda pumbavu! Yaani unatokewa alafu unawakejeli?
Bahati mbaya ni kwamba kwa mwanaume umri siyo ishu kivile
Mjinga sana huyu! Subiri Mungu huwa hadhiahakiwi
Hawaelewi hii mijitu
Ha ha ha dala kwa maneno haya hadithi nmehisi nawe upo kwenye foleni, nmecheka mie lol
Hawa ambao hawatongozwi siku wakija kutongozwa watu hawalali.. na ungeweka picha yako hakuna ata mmoja ambae ange ku pm. Ndo maana kitaa hutongozwi umekuja kutongozwa humu baada ya kuweka promo zako sijui unataka mume sijui bf ata sielewi. Ila jaribu kuendana na wanawake wenzako wa hapa town..tangia wanabalehe wanatongozwa na hawajahi kuja kujigamba hapa.
Kuandika tuu hujui sasa nikikujibu si ntakua nakuonea...maana unaweza pia ukawa hujui kusoma..