sumbai
JF-Expert Member
- Jun 16, 2014
- 19,955
- 45,207
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Atakuwa anayaweka hapa yotee tumshauri
Kungwi nimekutumia buku kwenye tigo pesa niunganishe na darasa la leo
Ovyo sana! mwenyewe alijua tutampamba watu wamempa za uso mwanamke gani hulka hana? ha ha haaa
Mnalala pamoja?
Ha ha ha dala kwa maneno haya hadithi nmehisi nawe upo kwenye foleni, nmecheka mie lol
Khaaah! Tangu lini mimi shemeji yako? Sio vizuri kuzibiana fursa
Hahaha! Mzee mimi wala sipo kwenye list sema nilisoma bandiko lake la kumuomba Mungu ampe mume alafu tena anakuja na utumbo huu nimemind kinoma
Mmmmh! Sema umeenda kuomba asikutaje
Unahisi hilo jibu nimelifurahia?Mara moja moja ndio.
duh wanawake bna!!!!!!!
Mkuu Wewe Mwenyewe Unajua Rada Zangu Zimeelekezwa Wapi!
Wanawake achana nao, akili zao wanazijua wenyewe.
Mtu atangaze mwenyewe anataaka kuolewa,afuatwe na hao waoaji tena alalamike kwa nini wanamfuata,alitangaza ili iweje?
Plato alipata kusema kwamba hapa duniani kuna maajabu makubwa mawili au mikosi mikibwa miwili, ya kwanza ni kifo ya pili ni kuzaliwa mwanamke.
Unahisi hilo jibu nimelifurahia?