Kiukweli hali hii inatisha, Elimu inaenda wapi? Nani mwenye uchungu nayo? Kaimu mkurugenzi wa baraza la Elimu alisema ufaulu umeongezeka wakati ukiangalia kiukweli ufaulu umepungua sana, ikumbukwe Div 3 imerefushwa na hata mpangilio haueleweki, waliofaulu kihalali ukilinganisha na mipangilio ya zamani ni walio na Div-I & II maana kwa sasa II ni kuanzia point 18 - 24 wakati kwa zamani point 25 ilikuwa III ya mwisho. So kwa watakao onekana kwenda A-Level na vyuo mbalimbali kihalali ni wanafunzi 29,307 sawa na asilimia 8.32, Je taifa tunaenda wapi kwa namna ya haraka ni asilimia 10 tu ya wanafunzi ndio wamefaulu na asilimia 90 wamefail kwa Div IV na zero! INAUMA SANA! MABADILIKO NDANI YA NCHI YANAHITAJIKA LA SIVYO TUMEKWISHA!