Poland imewazuia walinzi wa Ramaphosa kwenda Ukraine

Poland imewazuia walinzi wa Ramaphosa kwenda Ukraine

Mnada wa Mhunze

Senior Member
Joined
Mar 1, 2023
Posts
168
Reaction score
819
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.

Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.

"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"

Ramaphosa yupo Ukraine bila ulinzi mahsusi.

BBC
 
halafu waaache kukenua.mimeno watamuuzi zelesky kapigika.kachoka hana uhakika na maisha
 

Attachments

  • _130107873_pic1.jpg
    _130107873_pic1.jpg
    40 KB · Views: 5
Hizi ndio aina ya habari zinakuacha na maswali badala ya kukuhabarisha.
Kwanini wamezuiliwa? Kwanini walinzi wa Ramaphosa pekee? Poland anaingia vipi kwenye safari ya ukraine?
Mkuu clinician , nchi ya Poland ndiyo Belarus ya Ukraine. Umeelewa sasa? Poland haiamini kwamba SA na ujumbe wa Afrika una nia njema na Ukraine.

Msishangae Ramaphosa akaliwa kichwa ugenini kwa sababu ya kumsapoti na kumkaribisha Putin kwake.
 
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.

Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.

"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"

Ramaphosa yupo Ukraine bila ulinzi mahsusi.

BBC
Ingekuwa mie ndiye Ramaphosa, kabla hata sijafika SA, hao walinzi wote kazi hawana. Sasa wanalinda nzi? Rais wao akiuawa, watajibu nini? Shame! Mnazuiwaje kwa mfano?

Wametudhalilisha sana Afrika. It means hawakuzungumza wakaelewana before waanze safari? Kwa nini Poland isione kwamba huo ujumbe wa Afrika ni kwa ajili ya maslahi na usalama wa Ukraine na Ulaya nzima?
 
Hili ndio tatizo la watawala wengi wa Africa, hawana hata soni, President Ramaphosa ni pro putin, sasa utaweza vipi kuwa mpatanishi?wakati haupo neutral?pia ndani ya SA watu wanauliwa kwa wingi kuliko wanaokufa kwenye uvamizi huu wa russia, President H&H ameshauliwa vibaya kuwa sehemu ya ujumbe huu ila kudos kwake maana ameenda na ujumbe wa watu 12 tu,Why uingie na watu zaidi ya 150?armed to the teeth?,I lost respect kwa President CR
 
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.

Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.

"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"

Ramaphosa yupo Ukraine bila ulinzi mahsusi.

BBC
Sina mbavu kabisa 🤣😂😅
Sijuwi tunawandekeza hao wa Nini.
JPM OYEEEE
 
Ingekuwa mie ndiye Ramaphosa, kabla hata sijafika SA, hao walinzi wote kazi hawana. Sasa wanalindi nzi? Rais wao akiuawa, watajibu nini? Shame! Mnazuiwaje kwa mfano?

Wametudhalilisha sana Afrika. It means hawakuzungumza wakaelewana before waanze safari? Kwa nini Poland isione kwamba huo ujumbe wa Afrika ni kwa ajili ya maslahi na usalama wa Ukraine na Ulaya nzima?
Mkuu pata upande wa pili wa story, Poland ni pro Ukraine na president CR ni pro putin, ni upuuzi kwa upande wa CR kwenda huko wakati hayupo neutral, 3 other African presidents wamekataa kwenda kwenye ule upuuzi
 
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.

Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.

"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"

Ramaphosa yupo Ukraine bila ulinzi mahsusi.

BBC
Sasa Ramaphosa ameenda kufanya nini Ukraine na wao wana umoja wao wa BRICS na urusi na brazil, halafu hawa South Africa wanaunga mkono ushoga kwa asilimia zote wacha walinzi wazuiliwe hapo hapo kwanza wakitaka wamsubiri hawataki warudi kwao South Africa.
 
Pia kuna allegations kwamba SA anamuuzia Urusi silaha
Toka kule asee! Russia hajawahi kununua wala kuazima silaha kutoka kokote. Wake up! Anachofanya yeye ni kujenga na kuimarisha urafiki na mataifa mbalimbali ambayo Marekani amewatisha muda mrefu.

Anatumia muda huo ku-test mitambo na silaha za nchi husika, then washamba wanadai kwamba ameuziwa au amepewa msaada.
 
Toka kule asee! Russia hajawahi kununua wala kuazima silaha kutoka kokote. Wake up! Anachofanya yeye ni kujenga na kuimarisha urafiki na mataifa mbalimbali ambayo Marekani amewatisha muda mrefu.

Anatumia muda huo ku-test mitambo na silaha za nchi husika, then washamba wanadai kwamba ameuziwa au amepewa msaada.
Ndio maana nmesema allegations mkuu
 
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.

Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.

"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"

Ramaphosa yupo Ukraine bila ulinzi mahsusi.

BBC
Walinzi 100 ni wengi sana, huenda Poland wamehisi kuna wabeba unga miongoni mwao. Africa Kusini limekuwa taifa la hovyo sana.
 
Back
Top Bottom