Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Ninyi watu wa Bara Giza mnajuaga Wazungu wao hawapendi wala hawakuli unga, si ndiyo?Walinzi 100 ni wengi sana, huenda Poland wamehisi kuna wabeba unga miongoni mwao. Africa Kusini limekuwa taifa la hovyo sana.