Poland imewazuia walinzi wa Ramaphosa kwenda Ukraine


Unadhani wanazuiwa Kwa mikono,la ashaa,ni ndege ndio inanyimwa Mawasiliano
 
Anaenda kuwasuluisha wazungu,matokeo yake unabaguliwa haha,,,ngozi nyeusi hazijifunzi toka kwenye msiba wa malkia hampendwi,wapo na nyie kwakua wanataka vitu kwenu,kwanza Afrika ina matatizo kibao badala yakukaa nchini kwako ujue jinsi gani ucontrol uuzwaji holela wa madawa na risasi maana ndivyo vinawaua raia wengi wa South Africa eti unaenda kuzurula nchi za walioamua kuharibu nchi zao wenyewe smh!
 
Unadhani wanazuiwa Kwa mikono,la ashaa,ni ndege ndio inanyimwa Mawasiliano
Huo ndio ushamba wenyewe, mkuu. Mimi nikajua walikwidwa, then wakapigwa mitama, mihindi na michina! Kumbe walitishwa kwa maneno tu?

Walitakiwa kutumia nguvu kama ambavyo gaidi Marekani alitumia nguvu kuingia anga ya wenyewe kwenye Kisiwa cha Taiwan, Mchina akamsamehe bure hadi hapo baadaye.
 
Walinzi 100 ni wengi sana, huenda Poland wamehisi kuna wabeba unga miongoni mwao. Africa Kusini limekuwa taifa la hovyo sana.
Akili na mawazo haya ni aibu kwa Waafrika na uafrika achilia mbali ubantu.

Ni jitu jeusi ila software sio yenyewe
Aibu
 
Walinzi mia moja wa nini, hao wakae hapo mwisho wa siku warudi nyumbani. Hakuna mwenye nia ovu na Ramaphosa.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Drones za Shaheed zinatoka wapi?

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Mkuu pata upande wa pili wa story, Poland ni pro Ukraine na president CR ni pro putin, ni upuuzi kwa upande wa CR kwenda huko wakati hayupo neutral, 3 other African presidents wamekataa kwenda kwenye ule upuuzi
Rais wa hovyo kuwahi kutokea.
Hana ushawishi ndani wala nje ya nchi yake.
Anakenua tu
 
Wewe umepimaje hilo?
Toka apogee Urais, uchumi wa SA haujawahi kukua zaidi ya 2%,unemployment rate almost 38%,crime rate hasa mauaji, scams, yameongezeka mno, uhusiano wake na nchi za kiafrika umeathirika mno, SA inayumba mno kibiashara including AGOA ,zar against top currencies duniani ipo kwenye free falling
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…