Kwenye Msafara wa Rais wa Afrika (Cyril Ramaphosa)
Akielekea jijini Kyiv kama sehemu ya viongozi Saba (7) wa Afrika ambao wanakwenda nchini humo kwa ajili ya Mazungumzo ya amani,
Ndege ya Rais wa Afrika Kusini ilizuiwa kupita kwenye anga la Italia, kitendo kilichopelekea kukaa hewani kwa muda mrefu,
Kisha wakafanya maamuzi ya kushuka kwenye uwanja wa ndege wa Poland kwa dharura.
Walipotua nchini Poland,
Walilazimika kukaa ndani ya ndege kwa zaidi ya Saa 9 huku silaha za walinzi wa Rais Ramaphosa zikichukuliwa na askari wa Poland japokuwa walikuwa na vibali vyote.
Chanzo cha kutokea kwa haya yote ni kwasababu ya Ushirikiano uliopo baina ya taifa la Afrika Kusini na Urusi.
Hii ndo dunia ambayo tunaishi, na huo ndo ukweli ambao wazungu wamekuwa wakiuficha kwa miaka yote.
Sasa Ramaphosa ameenda kufanya nini Ukraine na wao wana umoja wao wa BRICS na urusi na brazil, halafu hawa South Africa wanaunga mkono ushoga kwa asilimia zote wacha walinzi wazuiliwe hapo hapo kwanza wakitaka wamsubiri hawataki warudi kwao South Africa.
Hili ndio tatizo la watawala wengi wa Africa, hawana hata soni, President Ramaphosa ni pro putin, sasa utaweza vipi kuwa mpatanishi?wakati haupo neutral?pia ndani ya SA watu wanauliwa kwa wingi kuliko wanaokufa kwenye uvamizi huu wa russia, President H&H ameshauliwa vibaya kuwa sehemu ya ujumbe huu ila kudos kwake maana ameenda na ujumbe wa watu 12 tu,Why uingie na watu zaidi ya 150?armed to the teeth?,I lost respect kwa President CR
Sasa Ramaphosa ameenda kufanya nini Ukraine na wao wana umoja wao wa BRICS na urusi na brazil, halafu hawa South Africa wanaunga mkono ushoga kwa asilimia zote wacha walinzi wazuiliwe hapo hapo kwanza wakitaka wamsubiri hawataki warudi kwao South Africa.
Subhanallah, kumbe wanaunga mkono ushoga!! Basi huyo zelensky akazie hapo hapo, na MZEE MZIMA MR VLADIMIR PUTTIN aache ushirika na nchi inayojihusisha na ushoga. Kwanza ikiwezekana wamlime kichwa tu huyo ramaphosa, kama ndio anaunga mkono ushoga aise wamlime tu.
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.
Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.
"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"
Hili ndio tatizo la watawala wengi wa Africa, hawana hata soni, President Ramaphosa ni pro putin, sasa utaweza vipi kuwa mpatanishi?wakati haupo neutral?pia ndani ya SA watu wanauliwa kwa wingi kuliko wanaokufa kwenye uvamizi huu wa russia, President H&H ameshauliwa vibaya kuwa sehemu ya ujumbe huu ila kudos kwake maana ameenda na ujumbe wa watu 12 tu,Why uingie na watu zaidi ya 150?armed to the teeth?,I lost respect kwa President CR
Rais wa Marekani anawindwa na watu wengi sana hapa duniani, sasa nani ana haja yoyote na Ramaphosa?!
Ramaphosa hata akitembea hapa Kariakoo hakuna mtu atakayemjua atakayekuwa na habari naye.
Rais wa Marekani anawindwa na watu wengi sana hapa duniani, sasa nani ana haja yoyote na Ramaphosa?!
Ramaphosa hata akitembea hapa Kariakoo hakuna mtu atakayemjua atakayekuwa na habari naye.
South Africa ni shangingi hajulikani kusi wala kaskazi, mara anasaport Urusi mara hawezi kuhimili vikwazo vya magharibi, ndio mana sasa anahangaika. Diplomasia yeye alishachagua BRICS sasa ya Ukraine yanamuhusu nini
South Africa ni shangingi hajulikani kusi wala kaskazi, mara anasaport Urusi mara hawezi kuhimili vikwazo vya magharibi, ndio mana sasa anahangaika. Diplomasia yeye alishachagua BRICS sasa ya Ukraine yanamuhusu nini
China ameendela kushirikiana na Russia na hata kukataa kuunga mkono Azimio la UN kuilani Russia kwa uvamizi wake! China ni mwanachama wa BRICS ni nini tofauti yake na SA katika swala hilo la kushiriki kusuruhisha mgogoro huo? Isitoshe China imeshawek mapendekezo yake ya kumaliza vita,ingawa US imekataa huo mpango! Vipi hapo?
South Africa ni shangingi hajulikani kusi wala kaskazi, mara anasaport Urusi mara hawezi kuhimili vikwazo vya magharibi, ndio mana sasa anahangaika. Diplomasia yeye alishachagua BRICS sasa ya Ukraine yanamuhusu nini
Mzozo wa kidiplomasia umeibuka baina ya nchi ya Poland na Afrika Kusini kwa kile kinachodaiwa ubaguzi wa rangi na mkuu wa kitengo cha ulinzi wa Rais Ramaphosa.
Kundi la walinzi zaidi ya 100 wa Rais Ramaphosa wakiwa kwenye ndege ya shirika la SAA wamezuliwa isivyotarajiwa na Mamlaka za Poland kuendelea na safari.
"...wametuzuia hapa hakika wanahatarisha usalama wa Rais ( Ramaphosa). Nataka muone walivyo wabaguzi wa rangi!"
Huyu jamaa Ramaphosa aache ushabiki na Russia manake uta mcost saana, kilichotokea ni kwamba wakati wako safarini Italy ilikataa ndege yake isipite juu ya anga lake, ikatokea kuzunguka almost more than 6 times mediteran ocean na baadae kuomba kutua Poland kwa zarura, na baada ya kutua poland security unit yoote ikapigwa pini more than 22 hrs kwenye ndege ya pamoja na mkuu wa usalama wa rais, hakuna alieruhusiwa kushuka tena wakaamrishwa na silaha zao zishushwe manake hawana kibal