Poland yatafakari mpango wa kumiliki silaha za nuclear za kujihami.

Poland yatafakari mpango wa kumiliki silaha za nuclear za kujihami.

Hivi ni kwanin Europe wanamuona Urusi kama threat kubwa sana kwao? Maana NATO ni kwa ajili ya Urusi.

Base za marekani huko ulaya ni dhidi ya Urusi

Hizi nukes wanazoimba sasa hivi ulaya ni kwa ajili ya Urusi

Hii hofu yote inatokanas na nin hasa? Kuna mtu anaweza kunisaidia ufafanusi?
Mbona ufafanuzi ameshautoa Poland. Soma tena ni kwanini anataka kuwa na NUKE.
 
Nchi zenye au zilizowahi kuwa na communist ideology first ni dictatorship regimes hence zinaongozwa na "vichaa". Secondly, kichaa ni wa kwenda naye kwa kujihami vilivyo maana hujui next second ataamua nini.
Marekani ndie kichaa wa kwanza na pekee kutumia silaha za maangamizi katika vita mbalimbali 1. Japan 2.Vietnam

Huu ulioandika ni upuuzi.

Ni vita ngapi China,Korea Kaskazini,Cuba mpaka sasa wamevamia nchi nyingine ukilinganisha na marekani ya kibepari ?
 
Hii ni kutokana na Ukomunisti na vita baridi. Russia ilikuwa inalazimisha mataifa yote jirani yake kufuata sera za ukomunisti na udikteta, ilijenga hadi ukuta kutenga Ujerumani Mashariki na magharibi.
Ukomunisti umekwisha anguka toka miaka ya 90 huko ulaya wana hofu ya kipuuzi no wonder marekani kayageuza makoloni yake
 
Poland hawataki tena kurudishwa kwenye Ukomunisti.
 
Ukomunisti umekwisha anguka toka miaka ya 90 huko ulaya wana hofu ya kipuuzi no wonder marekani kayageuza makoloni yake
Tangu kuanguka kwa USSR Urusi imekwishazivamia Georgia, Ukraine na Moldova na kuzimega.
 
Nchi zenye au zilizowahi kuwa na communist ideology first ni dictatorship regimes hence zinaongozwa na "vichaa". Secondly, kichaa ni wa kwenda naye kwa kujihami vilivyo maana hujui next second ataamua nini.
Brainwashed fellow.
 
Poland hawataki tena kurudishwa kwenye Ukomunisti.
Ukomunist ulikufa miaka mingi SANA. Hakuna nchi ya kikomunist hata Moja duniani kwa Sasa. Dunia yote inaongizwa na falsafa za kibepari.
 
Back
Top Bottom