Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Hata mbuzi ana mume ..mume wa mtu Nini mbona alikuwa anaishi nae?
Wala mi sina tatizo nae, nimecomment tu kuwa katarina hajawahi kuwa na mwanaume ambae si mume wa mtu, na hata akiwa mume wa shost wake hanaga tatizo kate. Alishawahi kusutwa na mashost baada ya kuiba namba mume wa rafiki ake akaanza kuflirt!

Hajawahi kuacha huyu tangu na tangu.
 
Halafu msibani huku wakifanya Fujo wanashangilia CCM OYEEEE
 
Mwanaume mara ya mwisho Mahakamani aligoma kuwa hataki kuendelea na kesi ya Taraka. Unadhani ndugu zake ni wajinga kusimama na mke wake wa Ndoa?
Kwamba mume aligoma kuendelea na talaka na sio kwamba alitoa talaka ijumaa kama ninavyosikia?
 
Hata hao wa zamani hawakuwahi kuwa wazuri midomoni mwenu, ni vile tu watz tumejaa unafiki. Ndomaana hata JK alisemwa kwa mabaya ila, sasahivi alivyotoka madarakani Lila mmoja anadai alikuwa kiongozi mzuri[emoji28].
Nakubali watanzania ni wanafiki. JK anasemwa alikuwa kiongozi mzuri na watu wasio na upeo, corrupt, wazembe na wavivu. Kwangu mimi hata kidogo. Alikuwa kiongozi mbovu kabisa na tuombe Mungu mama Samia asiingie kwenye mtego wa kuwa kiongozi wa aina ile.
 
Ahaaaa mme wa mtu sumu, nimekumbuka mdada alofiwa na sponsor. Alilia kwa uchungu alitinga msibani na timu yake mzima, mara gari la vinywaji na likafika, michele na mazagazaga kama yote.

Msibani watu wote macho kwa yule dada.sijawahi ona dada mwenye msimamo kama ule.
Alikuwa ni mchepuko ila wanaukoo wengi walikuwa wakimjua.
Yaan raha ya sponsor awe na hela, maana mchepuko ule ulitia pesa kila kitu chenye kasoro kilirekebishwa pale pale.

Marafiki wa marehemu nao walimpa nguvu mchepuko. Mafundi wa kujenga kaburi wakaletwa wapya. Watu wote walishika mdomo.

Mke mkubwa kimyaa hakusema chochote. Ile timu ta mchepuko na sare zao sasa mmmh.!!!!!!

Ni miezi 7 tangu mme wa mchepuko afe ila kila weekend mchepuko anaenda nyumbani kwa marehemu anasafisha kaburi, anapulizia perfume,maua na anaondoka.

Pesa ina nguvu nyie!!!!

Sema yeye hakuleta fujo.aligharamikia nsiba wote.kila kitu.
 
Kweli eee ngoja namie safari hii nitatembelea Dom ![emoji23][emoji23]
Manka unataka kuja kuuza papa? Hapana aisee hio haikufai wala hupendezei...wewe ni wife material kama utulie
 
Kwahyo huyo demu ni mbaya..bas sawa...duh...huyo dem ni pisi kal mjomba...mref mweupe.ana chura..ni bonge la demu.we unahis had tunapoteza muda kumuongelea ni kwann
Ndio demu wa kupigisha kwata wabunge na vigogo wote hao. Basi ni madomo zege wanajua kuopoa demu aliyejirahisisha kwao
 
Huyu Magige awali alikuwa mchepuko wa Mamvi kisha akahamia kwa Kagasheki sasa anamng'ang'ania hayati?

Lazima ana pepo huyu na hapo ukute waliomsindikiza ni wale Covid 19!
images.jpeg
Mamvi na JK ngoma droo!!
 
Back
Top Bottom