Mangungo II
JF-Expert Member
- Jul 6, 2012
- 18,133
- 26,766
Jipambane hata mkiwa ndani ili tusitamani wa nje[emoji16][emoji16][emoji16][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Wewe huyo[emoji16]
Hivi wanaume mnataka nini???[emoji849][emoji849][emoji848]
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Wala mi sina tatizo nae, nimecomment tu kuwa katarina hajawahi kuwa na mwanaume ambae si mume wa mtu, na hata akiwa mume wa shost wake hanaga tatizo kate. Alishawahi kusutwa na mashost baada ya kuiba namba mume wa rafiki ake akaanza kuflirt!Hata mbuzi ana mume ..mume wa mtu Nini mbona alikuwa anaishi nae?
anaweza kuwa hana pia, maisha haya ndio ujue kuna vitukuu wa mtume 😀Atakosaje luku mzee yule cha woteee
Kama ana churaaa!?Picha ya Magige
Ukisoma hapo kwenye Funzo haiwezekani Cathy ndio ajipe onyo 🤷Naona kama wewe ndio Magige umekuja in reverse!
Ss mbona alikua anaishi na Cathy km hio ndoa aliiheshimu sana?.
Na talaka si process zilikuw zinaendelea
Kulikuwa na ndoa hapo
Ama talaka mahakamani
Ni vile tu haikuwa imefika mwisho
Kilichomuua huyo madoda Nini??Mwanaume mara ya mwisho Mahakamani aligoma kuwa hataki kuendelea na kesi ya Taraka. Unadhani ndugu zake ni wajinga kusimama na mke wake wa Ndoa?
Hata hao wa zamani hawakuwahi kuwa wazuri midomoni mwenu, ni vile tu watz tumejaa unafiki. Ndomaana hata JK alisemwa kwa mabaya ila, sasahivi alivyotoka madarakani Lila mmoja anadai alikuwa kiongozi mzuri[emoji28].Wangefanya ujinga huu nchi isingekuwa hapa ilipo sasa hivi.
Kwamba mume aligoma kuendelea na talaka na sio kwamba alitoa talaka ijumaa kama ninavyosikia?Mwanaume mara ya mwisho Mahakamani aligoma kuwa hataki kuendelea na kesi ya Taraka. Unadhani ndugu zake ni wajinga kusimama na mke wake wa Ndoa?
Sipambani utajijua mwenyewe banaJipambane hata mkiwa ndani ili tusitamani wa nje
Nilitaka nione tu muonekano wakeKama ana churaaa!?
Nakubali watanzania ni wanafiki. JK anasemwa alikuwa kiongozi mzuri na watu wasio na upeo, corrupt, wazembe na wavivu. Kwangu mimi hata kidogo. Alikuwa kiongozi mbovu kabisa na tuombe Mungu mama Samia asiingie kwenye mtego wa kuwa kiongozi wa aina ile.Hata hao wa zamani hawakuwahi kuwa wazuri midomoni mwenu, ni vile tu watz tumejaa unafiki. Ndomaana hata JK alisemwa kwa mabaya ila, sasahivi alivyotoka madarakani Lila mmoja anadai alikuwa kiongozi mzuri[emoji28].
UWT huko sijui wamefanyanajeEm nimegee hiyo story kidogo mwaya, maana hata hizi stories sizielewi elewi.
Manka unataka kuja kuuza papa? Hapana aisee hio haikufai wala hupendezei...wewe ni wife material kama utulieKweli eee ngoja namie safari hii nitatembelea Dom ![emoji23][emoji23]
Ndio demu wa kupigisha kwata wabunge na vigogo wote hao. Basi ni madomo zege wanajua kuopoa demu aliyejirahisisha kwaoKwahyo huyo demu ni mbaya..bas sawa...duh...huyo dem ni pisi kal mjomba...mref mweupe.ana chura..ni bonge la demu.we unahis had tunapoteza muda kumuongelea ni kwann
Huyu Magige awali alikuwa mchepuko wa Mamvi kisha akahamia kwa Kagasheki sasa anamng'ang'ania hayati?
Lazima ana pepo huyu na hapo ukute waliomsindikiza ni wale Covid 19!