Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Mpaka mume anakufa, talaka ilikuwa haijatolewa so ndoa ilikuwa haijafa, hata kama wenyewe walikuwa hawaitaki; kwa sababu kuna watu wanapeleka mashauri ya talaka huko, mwisho wa siku wanapatana ndoa inaendelea. Ndiyo maana mke amepewa haki zote za kumzika huyo mumewe; huo ndiyo Ukristo sasa.

Hili ni somo kwa kila mwanamke, usije ukaishi na mtu ambaye anaprocess talaka, ukajiachia ukafikiri wewe ndiyo mke, as long as talaka haijatoka; huyo bwana akifa, utafanya msiba kwa picha ya marehemu. Na kwa Ukristo talaka sio jambo jepesi la siku moja, so ukiwa na mwanaume wa aina hiyo, know your place mapema.
Ameeeen, mama mchungaji.
 
Wewe ni hawara unalazimisha kumzika hawara yako na huku anamke halali wa ndoa isitoshe wewe unawadhifa mkubwa nchini .

Kwelii hii niaibu hata kama unahaki njoo kiheshima omba upokelewe utoe heshima za mwisho tena kisiri unajionyesha hivi hii ni aibu kubwa sana .

Uwiii nimeshangaa sana hii ni aibuu .

Kupendwa ni heshima itoe kwa wale uliowakuta.

Jamani wanawake ifikie muda tujidhamini tujipende nakuogopa aibu.

Sasa kuku unaenda kuparamia famia ya,watu kuzika hawara yako hivi ukipelekwa mahakamani utazungumza kama nani.

Ulipewa vichapo vitamu ila hivyo vichapo vinamwenyewe.



Hii niaibuuu tupu.
 
Hata sheria zikibadilishwa mali zikawa kwa majina ya wahusika bado urithi utakuwa kwa watoto. Kama ameondoka mama mali zake watapewa watoto na pengine msimamizi akawa baba. Na baba akiondoka mali wakarithishwa watoto usimamizi anaweza akapewa mama mtu.

Kwenye sheria za mirathi msimamizi mara nyingi anaangaliwa yule mwenye "best interest" in favour ya warithi. Bado ni yale yale hauwezi kuokwepa your immediate family kwenye mirathi hata kama mali ziko kwa jina lako, hivyo hicho unachokisuggest almost hakifanyi kazi, au pengine kitafanya kazi kama wanandoa wameachana then katika kugawana kila mtu atachukua chake bila mvutano, kwa maana ya kila mtu ataondoka na mali yenye jina lake.

Halafu, mke hajalazimisha kuzika, huyu bwana anazikwa kwake sababu sheria za ndoa bado zinatambua kwake ni pale. Msiba lazima uwekwe nyumbani kwake sio kwa wazazi wala nduguze.

Halafu, unamaanisha ndugu wamzike mtu wao kama kijana underage ambaye hajawahi tengeneza familia?

Haijalishi amezikwa wapi, kwa nini mke aliyeachwa na marehemu analazimisha kuzika? marehemu alishamkataa akiwa hai ndoa iko wapi hapo? Kwanini ndugu wa Mumu wasizike Ndugu Yao wenyewe? hawa wanawake wanagombania pesa, Sheria za ndoa zibadilishwe kwenye ndoa kila mtu andike mali zake, hutaona haya maigizo ya wanawake
 
Wewe ni hawara unalazimisha kumzika hawara yako na huku anamke halali wa ndoa isitoshe wewe unawadhifa mkubwa nchini .
Kwelii hii niaibu hata kama unahaki njoo kiheshima omba upokelewe utoe heshima za mwisho tena kisiri unajionyesha hivi hii ni aibu kubwa sana .
Uwiii nimeshangaa sana hii ni aibuu .
Kupendwa ni heshima itoe kwa wale uliowakuta.
Jamani wanawake ifikie muda tujidhamini tujipende nakuogopa aibu.
Sasa kuku unaenda kuparamia famia ya,watu kuzika hawara yako hivi ukipelekwa mahakamani utazungumza kama nani.
Ulipewa vichapo vitamu ila hivyo vichapo vinamwenyewe.


Hii niaibuuu tupu.

Kumbe jamaa alikuwa na haki kumwacha huyu mama, ni mbabe. Hakuwa na mapenzi ya kweli kwa mume wake. Huwezi kuwa katika majonzi ati unatupa ua. Haikubaliki hii, wanawake zetu mnajisahau sana
 
Kumbe jamaa alikuwa na haki kumwacha huyu mama, ni mbabe. Hakuwa na mapenzi ya kweli kwa mume wake. Huwezi kuwa katika majonzi ati unatupa ua. Haikubaliki hii, wanawake zetu mnajisahau sana
Hujui tu wewe kufiwa na mume halafu vishetani vilete ufisadi sisi hii imetokea kwetu sema tunachoshukuru hawakuingilia mazishi ya baba yangu nilikuwa nimeapa nitambeba huyu mwanamke ni muweke kwenye jeneza wakaishi wotee.
Hujui tu kuishi na vimada wa baba yaani tokea nizaliwe napigania haki yangu mpaka huyo mzee akaja kufa
 
Ni wewe dada yake uliyekuwa unang'ata pendo la mawifi wote bila shaka. [emoji848][emoji848][emoji848]

Maana hili jina linafanana kidogo na la wifi wao wakina Cathy linalotumika Instagram

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 
Hujui tu wewe kufiwa na mume halafu vishetani vilete ufisadi sisi hii imetokea kwetu sema tunachoshukuru hawakuingilia mazishi ya baba yangu nilikuwa nimeapa nitambeba huyu mwanamke ni muweke kwenye jeneza wakaishi wotee.
Hujui tu kuishi na vimada wa baba yaani tokea nizaliwe napigania haki yangu mpaka huyo mzee akaja kufa
Kama binti nakuelewa mlivyo kwetu baba zenu na mnavyokuwa proud nasi. Namnataka tuwe karibu nanyi na ikitokea mchepuko mnakuwa na hasira zaidi hata ya mama zenu. Ila hujui mama zenu wanavyotutesa mpaka tunaenda kwa michepuko. Hujui na hutajua! Tuna experience binti ni ngumu ajabu. However polygamy is a matter of administration, Marehemu was too young to administer
 
Hawa ndugu zetu huwa wanahangaika weeee ila wakishafulia na afya mgogoro ndiyo wanakumbuka wake zao wa ndoa. Washindwe

Nakwambia Mchepuko alichemsha mwenyewe akasepa,kila akijaribu kujipendekeza kwa Mama anakuta Mama yuko busy anasali na Kikundi chake cha Moyo Mtakatifu wa Yesu kumwombea mtoto wake arudi kwenye Ndoa yake,Mchepuko kwangu hakuwahi thubutu hata kuandika msg. Kajipendekeza kwa Cousins wetu wakawa wanamlia vipesa vyake,wadogo zangu wa kiume wawili walikuwa na misimamo pia kumtetea Mke wa Ndoa, familia nzima tulisimama,Kaka akachoka akamwambia nimechoka kutengwa na familia na ndugu zangu,akarudi zake kwa Mkewe wa Ndoa na ndiyo tukarudisha mahusiano nae kifamilia.
 
Back
Top Bottom