Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

usichukue upande wa mtu kisa ana hela.... huyu Cathy alikuwa rafiki yake mjane ndo akaanza kutoka na marehemu na ndio sababu ya divorce, mwanamke ndio alifungua shauri na hata divorce hearing ya wiki iliopota bwana alikataa kutoa divorce akisema anataka watengeneze na mke wake. cathy kamyanyasa mno huyo dada akiwa na mmewe, kamweka ndani na kampeleka polisi mara nyingi sana, kamtukana hata kwa kutumia simu ya mister na ndugu wote wanajua...mnachofanya mtandaoni sasa hivi mnajifurahisha nyie wenyewe kwani arusha nzima inamuelewa huyo mjane na wanajua Cathy ni mchafu mno .....halafu suala lingine..hivi mnajua kilochomuaa marehemu? Marehemu alimfumania Cathy Magige live....ndo kupata pressure na kurudi nyuma kutaka kurudiana na mkewe kabla mauti hayajamkuta...yani mtu kavunja ndoa yako umeishi nae unakuja kugundua umeharaibu familia yako sababu ya mtu ambae sio mwaminifu.Ndo mana familia nzima na ndugu wana hasira na Cathy mnaomtetea huyo bidada inawezekana nao ni wadangaji mama yete tu...
 
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

Nimejikuta naunganisha dots haraka.


Yote kwa yote kwenye hii hoja, swala la kuzika wote wanaweza kuhusika tu ila inaweza kutokuwa formally kama alivyofanya mheshimiwa Cathy.

Amini usiamini sehemu yoyote ya maziko kama mzee alikuwa mwingi, basi wale michepuko wote huhudhuria tena hujulikana wapo na ndugu wote kutia ndani wasiojulikana. Huwezi zuia watu wasizikane kwa mambo ya sirini. Unakuta ni baba wa mtoto wako. Kisa hutambuliki na hakuna cheti cha ndoa hutaenda kumzika ?

Labda kipengele alichokosea Mheshimiwa ni kwenda kwenye taratibu za kuweka mashada ingawa inaonekana mchungaji aliridhia ili usalama uendelee kuwepo.

Yaani kama husband, baba, kaka, au mjomba ana michepuko au ndoa mbadala, basi jua siku akifa wote watahudhuria. Wengine wanaweza kuwa wanatambulika wengine walikuwa mafichoni ila siku hiyo watatambulika tu hata kwa namna ya kulia kwao. Na ndio maana ya mficha maradhi kifo humuumbua.

Sent from my SM-A115F using JamiiForums mobile app
 

Bado tatizo liko kwa mwanaume, unavunjaje ndoa yako kizembe hivyo? Sasa yeye alikua anachepuka na Cathy, kwa nini aumie akimkuta Cathy na yeye anachepuka? Yeye mbona alimchepukia mkewe? Anafikiri mkewe hakuumia alivyokua anamchepukia? Tena na aliyekua rafiki yake? Yeye alivyochepukiwa pamemuuma, ila alivyomchepukia mkewe alitaka aone sawa tu [emoji848]. Wanaume msipobadilika mna safari ndefu sana. Kabla hamjawalaumu wanawake kaeni chini mjitathmini. Unamchepukia mkeo, mchepuko ukikuchepukia unaumia [emoji848][emoji848]
 
Eti[emoji849]

Kama ni kweli, basi haya ni maajabu, hivi wanaume wanafikiri wao wakichepuka sisi hatuumii?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Siamini kama ufuska ndio sifa kuu ya kuteuliwa viti maalum kwa akina mama, japo habari mzima inaashiria uhuni wa kupitiliza wa mtunga sheria alievunja sheria, ambapo ni CCM wanalalamika kuvunjiwa heshima, polisi wako kimya.
 
Eti[emoji849]

Kama ni kweli, basi haya ni maajabu, hivi wanaume wanafikiri wao wakichepuka sisi hatuumii?

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Sielewi sasa huwa wanafikiriaje, huyo mwanaume alitakiwa amalizane kwanza na mkewe na wapeane talaka kama kweli alikua hamtaki halafu ndo awe na mwanamke mwingine. Hajamalizana vizuri na mkewe anaenda kuishi na aliyekua rafiki wa mkewe [emoji848] . Kila mtu akichepukiwa anaumia, sema wanaume wanafikirigi mwanamke haumii ila wao ndo wanaumia [emoji23]
 
Mahawara wana vurugu mno, hayo yanasababishwa na upande mmoja kutaka kujulikana zaidi ya ilivokuwa mwanzo wakati wakiwa na marehemu
 

Itakuwa wanagombea Mali hamna kingine km ni mapenzi hapana tayar ameshafarik
 
Duh,very sad[emoji848]
Ila Mungu atamlipia mjane

Sent from my TECNO P701 using JamiiForums mobile app
 
Duh!
Kwani marehemu Likwelile mkewe wa awali yu hai? Nilidhani alishakufa ndio akamuoa Vicky?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…