tweenty4seven
JF-Expert Member
- Sep 21, 2013
- 15,863
- 19,626
Mama huruma mzoefuNasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.
Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae
Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae
Si Haba
Nikajua manzi mkali kumbe hivi. Sema anabebwa na majina yote mawili
Kabisa Mkuu niliwahi ku mwandikia project proposal kitu ilikuwa inaita enzi wakiwa na yule Kamata...Wakati anaanza siasa alikuwa analipa Sana
Ila siku hizi kachuja
At least nimepata kumjua muuza mboga maarufu anayegombewa hata mwili wake ukizikwa.Huyo ni muuza mbunye maarufu bungeni,istoshe jamaa alikua na mshiko n mkulima mzuri wa mbogamboga,alikua anaexport kenya n soko la ndani
Vijana kama mm...hahah huyu mama hatariii anatembelea v8 jekundu LA nguvu..full kujiremba ukikutana nae huchomoki!!!Hataki wazee kama sisi anataka vijana kama MNYANTUZU!!!
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Kumbe ndiyo maana nchi inaenda kama gari bovu. Kama wabunge ni watu wa sampuli hii tutegemee nini kutoka bungeni? Na hapo hujaweka kina Msukuma, Gwajima, Kibajaji, Tale etc. Bunge limekuwa kijiwe cha matapeli siku hizi.
Ndo hivyo Mkuu,wanasemaga "Mtunga sheria ndiye mvunja sheria".Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria [emoji849]
Dah!!,noma sana Aisee.Ubunge unampa kiburi, asingekuwa Mbunge asingeleta taharuki hii.
Kupitia msiba huu wa hawara lazima kashapiga pesa nyingi za wabunge wenzio kwa mgongo wa rambirambi, ili kuhalalisha hili ndio kaamua kutumia nguvu kushiriki kuzika
Vipi ni mcharuko??.Hahaha nimekaa mtaa mmja na Cathy majirani kitambo sana
Kabla hajawa hata mb
Aise....
Ova
Kha!kha!,eti Kimbunga Jobo.Usishangaa cycle yake mulemule mjengoni.
Au ma alwatan wa chama
Usikute hata kimbunga jobo kajipuluzia nae[emoji1787]
Weka picha ya magige.. nijue tatizo lake
Ni shigdarAmetumika hatariiii hadi imetepeta
Kama utumbo buchan
Ka magige kenyewe kumbe kanafaa kulumagiwa aisee..
Yaani tujitose kwenye movement za electrons[emoji15]Mlishikwa puuu*b?
Msikubali, huyu mntakiwa mnamnywea K-vant na Alkasusu, akitoka hapo anasahau hata jina la nchi yake.