Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Nasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.

Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae

Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae

Si Haba
1. M
2. Then K
3. Then S
4. Then M
5. Then C
6. Then the late
Hapo hatujahesabu one night stand
Hivi mwanamke akiwa na miaka 55 anapaswa awe ametembea na wanaume wangapi?
 
Msiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.

Marehemu Madoda amezikwa leo katika shamba lake eneo la Nduruma,ambapo katika mazishi hayo yaliyoratibiwa na ndugu wa marehemu Magige hakutakiwa kuingia kaburini na wapambe wake baada ya familia hiyo kueleza kwamba watakao ingia kaburini ni wachache.

Hata hivyo Mbunge Magige akiwa na kundi lake aliamua kuvamia kwa kuvunja lango la kuingilia ndani ya shamba Hilo na kufanikisha kushiriki mazishi kwa kuweka shada la maua kaburini.

Watu walipokuwa kwenye kaburi walijawa na taharuki kuona Mbunge huyo akiongoza kundi la wanawake kuingia ndani ya shamba ambako mwili wa marehemu ulizikwa.

Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.

Marehemu ameacha watoto watatu wa mke wake wa ndoa Aziza Msuya aliyefunga naye ndoa ya kikristu mwaka 2003mjini Dodoma.
Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.

Marehemu ameacha watoto watatu wa mke wake wa ndoa Aziza Msuya aliyefunga naye ndoa ya kikristu mwaka 2003mjini Dodoma[emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827][emoji2827]

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hawa warembo wa mjengon wana vituko eh .... Iv yule mwengine aliolewa na kijana mwaka flan iv then wadau wakasema dada wa mjengon ndio kamuoa jamaa ....part ilikuwa kali sali sijui alikuwa anaitwa lusi
 
Dada wa marehem Katika mahojiano amesema marehemu alifungua Shauri mahakamani ijumaa kudai talaka Kwa Aziza ili amuoe huyo Catherine.

Na Kwa mujibu wa huyo dada,marehemu hajaugua,inawezekana hapo imetumika ile falsafa ya wawanawake "tukose wote "
 
Hapo tatizo sio kuzika tatizo ni kutambulika kwenye MIRATHI.

Pesa Pesaa
Huyo mbunge sizan kama anashida ya miradhi huyo kahudumu bungeni vipindi kadhaa ana shekeli za kutosha.

Huyo itakuwa ni LOVE tu, inaonekana alimuelewa marehemu
 
Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Hata Kama Edo alipita.
 
Nani kakwambia wabunge hawana njaa. Nenda kwenye mabenki uone mikopo wanayodaiwa.

Vicky kamata alikua mbunge ila saiv anagombania urithi na wanae wa kambo
Huyo mbunge sizan kama anashida ya miradhi huyo kahudumu bungeni vipindi kadhaa ana shekeli za kutosha.

Huyo itakuwa ni LOVE tu, inaonekana alimuelewa marehemu
 
Back
Top Bottom