Rebeca 83
JF-Expert Member
- Jun 4, 2016
- 15,136
- 32,268
Wanaume wenye mahawara wanapaswa kujua madhira wanayowasababishia watoto na wake zao baada ya kufa. Ni aibu na ujinga mtupu ukiachia mbali ubinafsi. Angekuwa anafaa si angemuoa badala ya kumweka kinyumba.
πππππππππππ