Evelyn Salt
JF-Expert Member
- Jan 5, 2012
- 70,916
- 141,437
Aibu ibebwe na anaowawakilisha (sisiemu)
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Huyo mtoto wa mjini ana aibu kweli? Hivi Kapteni Chiligate ilikuwaje?Hivi hawa wanawake wanaopewa viti Maalum huko ccm wanapatikanaje , mbona huyu Catherine Magige haonekani kuwa na hadhi ya ubunge ? anagombea maiti ya Mume wa mtu ili iweje ?
Kuna video inazunguka huko mitandaoni hadi aibu , nitajaribu kuidukua ili mjionee wenyewe .
Mbona hata wale wa Viti Maalum kutoka Kwako ( Kwenu ) CHADEMA nao wana ' Mapungufu ' hayo hayo ya ' Kimaadili ' kama unavyoyaona kwa huyu ( huyo ) wa CCM? au unajifanya hujui hili? Acha Unafiki tafadhali.tutaweka ili iwe fundisho kwa ccm kuokoteza viti maalum
Vya bure kabisaa naonaaa kila mtu anapita naonaa...Nasikia hata tajiri wa mabasi wa dodoma ambaye pia Ni mbunge alipita nae nyakati Fulani.
Pia nasikia Yule msanii icon nae aliteleza nae
Pia nasikia mbunge Fulani wa huko geita alijiburuza nae
Si Haba
Haaahaaaa...anawavuruga wasomi na ujanja wao...kazi sana.Hahaha nimekaa mtaa mmja na Cathy majirani kitambo sana
Kabla hajawa hata mb
Aise....
Ova
Miaka ya nyuma hawakuwepo? Unaboa!!Chadema haina viti maalum bungeni
Mkuu weka tungoja tuone chama chake kinasemaje
Bangi zinaniongezea 'Ukipanga' wangu.Acha bange ww hujaombwa uje kuangalia...pita hivi👉
Hivi hawa wanawake wanaopewa viti Maalum huko ccm wanapatikanaje , mbona huyu Catherine Magige haonekani kuwa na hadhi ya ubunge ? anagombea maiti ya Mume wa mtu ili iweje ?
Kuna video inazunguka huko mitandaoni hadi aibu , nitajaribu kuidukua ili mjionee wenyewe .
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Sasa hapa sijui nafanyaje! Na ndiyo nimeshafika, ngoja tu nitulie.
Msiba wa marehemu Kudula Madoda anayedaiwa kuwa mchumba wa mbunge wa viti maalumu Catherine Magige, umetawaliwa na vituko ya aina yake Mara baada ya Magige na kundi lake kuvunja geti ili kushiriki maziko ya marehemu baada ya kuzuiwa.
Marehemu Madoda amezikwa leo katika shamba lake eneo la Nduruma,ambapo katika mazishi hayo yaliyoratibiwa na ndugu wa marehemu Magige hakutakiwa kuingia kaburini na wapambe wake baada ya familia hiyo kueleza kwamba watakao ingia kaburini ni wachache.
Hata hivyo Mbunge Magige akiwa na kundi lake aliamua kuvamia kwa kuvunja lango la kuingilia ndani ya shamba Hilo na kufanikisha kushiriki mazishi kwa kuweka shada la maua kaburini.
Watu walipokuwa kwenye kaburi walijawa na taharuki kuona Mbunge huyo akiongoza kundi la wanawake kuingia ndani ya shamba ambako mwili wa marehemu ulizikwa.
Kabla ya mazishi hayo Magige alidai marehemu alikuwa mchumba wake lakini ndugu wa marehemu wakidai huyo alikuwa mwizi Kama wezi wengine wa wanaume na familia inamtambua mke halali wa marehemu ni Aziza Msuya.
Marehemu ameacha watoto watatu wa mke wake wa ndoa Aziza Msuya aliyefunga naye ndoa ya kikristu mwaka 2003mjini Dodoma.
Mbunge ni wa CCM, kwahiyo aibu ni ya chama chao, sasa huku kwingne wanahusika vipi?Kwanini umeitaja CCM kwa matendo maovu ya mhusika binafsi? Hata kama angekuwa ni wa CHADEMA, aibu ya mbunge ni aibu kwa taifa zima kwa maana analipwa/alikuwa analipwa kupitia kodi za watanzania wote.
Hakika kabisa yaan.Aibu ibebwe na anaowawakilisha (sisiemu)
Aibu ya mbunge ni aibu kwa taifa zima kwa maana analipwa/alikuwa analipwa kupitia kodi za watanzania wote.Mbunge ni wa CCM, kwahiyo aibu ni ya chama chao, sasa huku kwingne wanahusika vipi?
Aibu ni yake na ya chama chake, usitake kulazimisha jambo lisilokuwepo khaaaah.aibu ya mbunge ni aibu kwa taifa zima kwa maana analipwa/alikuwa analipwa kupitia kodi za watanzania wote.
Mbunge hajavunja sheria yoyote. Nadhani kabla hatujalaumu zaidi tunakiwa kuwa na taarifa zaidi.Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria 🙄
Asante, kwa kusema ukweli. Hizo ni tabia za binadamu na hazina vyama. Wewe kama ni malaya haijalizi kama ni CCM au CHADEMA au chama chochote.Ni kweli kabisa. Vyama vyote au tuseme kada ya siasa yote ndiyo imegeuka hivyo siku hizi.