Linguistic
JF-Expert Member
- Mar 16, 2021
- 3,669
- 8,268
Hivi kuna tofauti kati ya urembo na uzuri?[emoji16][emoji16]kabisa mkuu...Mpaka sasa najiuliza anafeli wap? Uzuri wote hana mume halali? Huenda ana shida kwenye K yake ndio maana vijeba kambi hazidumu hapo.
Ninachojua Ni Kwamba Warembo ndiyo hawaolewi ( labda) ila wazuri wanaolewa[emoji119][emoji119][emoji119]