Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Mbune Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamilili kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.
Wadada wa kibongo ni issue sana kuwa nao katika mahusiano, yaani wengi wao hawajitambui hata kidogo. Huyu Catherine si ni mbunge huyu na mtunga sheria, ona sasa anavyofanya mambo ya kijinga hadharani. Alikuwa nyumba ndogo ya Mh. Kagasheki, akamtema na sasa anaingilia ndoa ya mwanamke mwenzake. Very useless.

Hivi hawezi kukamatwa huyu na kupewa mwanamme wa kumuoa kwa lazima ili atulizane akili? Mh. Ndugai kanuni za kibunge zinasemaje kuhusu mbunge kicheche anayelazimisha kuolewa?
 
Mnaosema Cathy hata nyinyi mngekubali?mtu anafatilia talaka keshamtolea mahari na pete ya uchumba inasubiriwa talaka itoke tu aolewe.

Imetokea haya ungekubali kuzuiliwa kwenda kumzika?Upande wa Aziza haukuwa na busara na Cathy kuombeleza kwake ni jambo la kawaida tu wala haikuwa swala la kushindana kuonyeshana nani ni nani wangemuacha tu akazika mchumba wake na siyo vita.
Sawa chawa wa Cathy
 
Mtoto mzuri kweli sema kwa kawaida tu Caty huwaga malaya sana sijui kwanini yani? Hili jina bana


Mmnh labda ulokutana nao lakini nilokutana mimi naona wametulia sana tena wachaMungu!
Wapo ambao wamemaliza hadi University wakiwa mabikira wa asili kabisa hadi wanaolewa!
Itakuwa ni mtu tu mwenyewe lakini siyo jina sababu hata tafsiri ya jina lenyewe linamaana ya utulivu Yani virgin, clean and the like!
 
Mbune Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamilili kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.

Walitofautiana kwenye mambo ya kimapenzi hivyo walitengana less than two years ago, they were still working on official separation/divorce lakini ilikuwa bado haijatoka. Marehemu Madoda kama mwanamke alikuwa na haki zote zakuwa na girlfriend ambapo bahati ilimuangukia Catherine Magige ambalo ni jambo jema kabisa. Kwa bahati mbaya sana mambo yakiwa hayajakamilika pande zote bwana Madoda umauti ulimkuta ghafla akiwa kwenye mahusiano motomoto na Catherine.

Catherine aliona ana haki zote za ku-host msiba wa Madoda kama Mume wake akiwa any matrimonial bond either ndoa, watoto ama hata nyumba ya kuishi ambayo ni shared. Huku the original wife wana nyumba, watoto, ndoa na biashara.

Hivyo basi automatically msiba umekwenda nyumbani kwa Mke wa Madoda na mwili umelala huko leo ukiagwa na kupumzishwa na Catherine akiwa hana access kabisa ya kuhudhuria, kuaga, kuzika wala kuweka taji. Atabaki analia mwenyewe nyumbani kwake na mashost zake.


FUNZO: Yote yaliyotokea kwa Catherine kuwa na Madoda, kuishi nae haina kosa kabisa kwani alikuwa ametengana na mkewe na akamkuta Catherine yuko mwenyewe hapa hakuna shida yoyote. Kosa la Catherine ni mitandao ambayo alikuwa anaitumia kujimwambafai na mtu ambae bado ana pending issues na mke wake.

Catherine alikuwa ni mtu kurusha kila wanachofanya kwenye instgram kwamba ni Mumeo kumbe bado hajawa official. Pia hukutakiwa kuingilia ugomvi wao na kuanza kumtukana original wife. Wewe bado ni mdogo Mungu atakubariki utapata mume mwingine ila kama atakuwa Divorcee basi kula kimya kimya uache mbwembwe.

Poleni sana sisi tunajiandaa kwenda kumuaga Mume wako Madoda na kwenda kumpumzisha shambani kwake Nduruma.

MWISHO: Madoda kamaliza safari yake hapa duniani hivyo nawe zika mambo yote. Achana na mashost zako ambao watataka kuliendeleza hili swala. Madoda keshakufa hatarudi tena hivyo futa kila kitu.
Hawa mademu dizaini ya Kajala na mwanawe wakamatwe wapelekwe Dodoma au Milembe wakapumzike tu, tumewachoka sasa.
 
Mnao mlaumu Catherine Magige nawashangaa sana. Kwani ninyi hamjasoma Maandiko kuwa, "alalaye na kahaba anakuwa mwili mmoja na kahaba huyo"?
Mwendazake Madoda alilala na kahaba na kahaba huyo wakawa "mwili mmoja" sasa huyo kahaba ana haki ya kushiriki mazishi ya mwenzake.
Soma, 1 Wakorintho 6:16
 
Mnao mlaumu Catherine Magige nawashangaa sana. Kwani ninyi hamjasoma Maandiko kuwa, "alalaye na kahaba anakuwa mwili mmoja na kahaba huyo"?
Mwendazake Madoda alilala na kahaba na kahaba huyo wakawa "mwili mmoja" sasa huyo kahaba ana haki ya kushiriki mazishi ya mwenzake.
Soma, 1 Wakorintho 6:16
Ohooooo!!
 
Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Looooooooord Haaaave Meeercy!!!🙆‍♀️🙆‍♀️🙆‍♀️
 
Dah nimeona iyo video kwa kweli ni mambo ya aibu kabisa kwa mtu kama mbunge [emoji22][emoji22]
 
Lakini kwa Catherine Magige hii ni promo kubwa na ya msingi sana.

Tusisahau kwamba watu kama hawa wajasiriamali wa mapenzi wanategemea "kiki" ku-thrive.

Tulivyo wanaume, sasa hivi kila mwenye pesa ataanza kumwinda the popular politika hot chicka aweze kummega.

She knows it. Amepanda dau.

Kwahiyo kama kuna mtu anadhani Catherine kajishushia heshima, ajikosoe. She's playing a different game in a different field.
Umenena kitaalam
 
Back
Top Bottom