Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

ngoja ninogeshe uzi kwa picha mujarabu
1622193806070.png
1622193881550.png

mwenye vikuku ( zile zetu zipo za mpododo ) wacha watu wamshobokee bhana.
1622194699848.png

Mke wa halali wa bwana Kudula Madoda akiwa na majonzi tele .

1622194748957.png
 
Wadada wa kibongo ni issue sana kuwa nao katika mawasiliano, yaani wengi wao hawajitambui hata kidogo. Huyu Catherine si ni mbunge huyu na mtunga sheria, ona sasa anavyofanya mambo ya kijinga hadharani. Alikuwa nyumba ndogo ya Mh. Kagasheki, akamtema na sasa anaingilia ndoa ya mwanamke mwenzake. Very useless.

Hivi hawezi kukamatwa huyu na kupewa mwanamme wa kumuoa kwa lazima ili atulizane akili? Mh. Ndugai kanuni za kibunge zinasemaje kuhusu mbunge kicheche anayelazimisha kuolewa?
Job ndugai amchukue na kumfanya mke mdogo
 
Haya ndio matitizo ya sheria za ndoa, moja ktk ndoa akishasema sitaki hii ndoa ktk uhalisia hakuna ndoa, Talaka ziishie kwa Wakili wa serikali hakuna kupeleka mahakamani, Hapo huyo mwanamke aliyeachwa anapigania pesa na mali za Jamaa alizoacha hakuna kingine, Mwanaume alishamkataa akiwa hai leo anagombania maiti?. Na ktk ndoa kila mali ziwe na majina ya mwenye mali hakuna mali za familia, wanawake wa sasa mume akishakua na pesa kidogo waanzisha vurugu ili mume afe wachukue pesa, lazima wabunge wabadilishe hizi sheria tuwe na sheria kama za China na Ulaya. Hata Bill Gate yalimshinda akabwaga manyanga
kama mwanaume alimkataa kwa nini alikuwa anamfuata huyu mwanamke na kumzuia aiondoke
kwa nini alimwita akiwa anaelekea kwenye umauti?

mambo ya watu ni magumu mno
 
Nenda kwa Lemutuz kachukua full clip...yule mke nae anaonekana mshari asee ndo maana jamaa alimkimbia[emoji848]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Lakini wengi wamestand na huyo wife...dah .mm niishi na mume wa mtu akifa nakaa kimya tu ! Maana hata kuzaa hujazaa naye...yani unakosa pakujishikiza
 
Ila huyo sijui ndio mke wewe mume alikukimbia bado uko hai kafa unagombania maiti sio haki kama alikukataa bado mzima hawezi kukubali akiwa kafa huyo sio wako hapo watu wanawaza mirathi tu hakuna mapenzi mtu kafa anakusaidia nini? hukuwa na ujanja wakati mumeo yuko hai leo unamlilia TZ hatari sana na vituko haviishi.
Nilikuepo pale kwa Dr mohamed machina sindano, marehem aliletwa na dereva na crown nyeusi, anapepesuka, akapandishwa kwenye kitanda Cha sindano, alkua anaomba aitiwe mke wake Aziza (sijahadithiwa) halafu akakataa roho.
 
Lakini wengi wamestand na huyo wife...dah .mm niishi na mume wa mtu akifa nakaa kimya tu ! Maana hata kuzaa hujazaa naye...yani unakosa pakujishikiza
Ni mchumba wake na Pete kavishwa...na kakaa nae 2 yrs toka 2018

Sema Cat alizubaa sana ilitakiwa hiyo divorce iwe imeshatoka mapema sana, ndo imekula kwake, na kama alikuwa anafanya nae investments zozote sijui mwanaume anaandika majina yake.....hiyo ndo nitolee wife analamba vyotee maninaaa[emoji134]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga
Mbona Sasa umekejeli

Yeye kaomba namba hata Dm Ni sehemu ya mawasiliano.

Hata kuunga unga nayo maisha ili mradi unaenda chooni[emoji1]
 
Nilikuepo pale kwa Dr mohamed machina sindano, marehem aliletwa na dereva na crown nyeusi, anapepesuka, akapandishwa kwenye kitanda Cha sindano, alkua anaomba aitiwe mke wake Aziza (sijahadithiwa) halafu akakataa roho.
Aliugua nn..?funzo kubwa sana hapo..hata ujifanyr unapendwa vipi mke wa ndoa atabak mke wa ndoa aise
 
Nilikuepo pale kwa Dr mohamed machina sindano, marehem aliletwa na dereva na crown nyeusi, anapepesuka, akapandishwa kwenye kitanda Cha sindano, alkua anaomba aitiwe mke wake Aziza (sijahadithiwa) halafu akakataa roho.
Inasemekana alikuwa anaumwa nini??

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
 
Ni mchumba wake na Pete kavishwa...na kakaa nae 2 yrs toka 2018

Sema Cat alizubaa sana ilitakiwa hiyo divorce iwe imeshatoka mapema sana, ndo imekula kwake, na kama alikuwa anafanya investments zozote sijui mwanaume anaandika majina yake.....hiyo ndo nitolee wife analamba vyotee maninaaa[emoji134]

Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app

Hivi ww wity unakubalije kivalishwa pete na wakati bado inatambulika mchumba ana mke? Saa zingine sisi wanawake akili zinawaz kapicha kadogo kweli!ilibidi advorce ndo aje kumvisha pete...
 
Back
Top Bottom