Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Pole Catherine Magige, hii iwe fundisho kwa wadada maarufu nchini

Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
๐Ÿค” ๐Ÿค” ๐Ÿค”
 
Huyu binti hana tofauti na yule mwanamama aliyeimba 'wanawake na maendeleo'...kazi kuiba waume za watu, maana naye mwanaume aliyemkwiba kashawahi namba...

Sasa lile mama linavyolia utadhani huyo mume ni high school sweetheart, wakati kamkwiba kwa mwanamke mwenzie ambaye sasa anaishi kwa tabu...
Hata ma high schoolswewtheart hatuwalilii tena Mtani!

Ila mekumiss bana.
 
Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga

Angekua na pesa connection za namba huanzia kwa steve nyerere halafu angekua na pesa wangekutana tu sasa mwenzake anakunywa whisky class, yeye anaenda viwanja vya komoni wataonana wapi
 
Angekua na pesa connection za namba huanzia kwa steve nyerere halafu angekua na pesa wangekutana tu sasa mwenzake anakunywa whisky class, yeye anaenda viwanja vya komoni wataonana wapi
Hahahahahhaa....dah...wanaume mna kazi walah!
 
Mkuu umesahau makubaliano yetu kwenye ule mkutano mkuu wa 123 ajenda namba 7 tulikubaliana wanawake wa aina hii hatuoi ni kupiga na kusepa?
Hawa ndio wale wenye nuksi. Ukipiga Kama ulikua unagombea urais, urais utaukosa, Kama Ni mtanyakazi utatumbuliwa, Kama Ni mfanyabiashara utafilisika au utakufa, Kama ulikua waziri, uwaziri huupati Tena.
 
Mbune Catherine Magige amekuwa akiishi na kijana Madoda Ex TRA Staff ambae alikuwa mkulima na pia anamilili kampuni ya mikopo. Madoda walitengana na mke wake waliezaa watoto watatu kabla ya umauti haujamkuta. Walianza maisha na mkewe na Mungu aliwabariki kufikia walipofikia.

Walitofautiana kwenye mambo ya kimapenzi hivyo walitengana less than two years ago, they were still working on official separation/divorce lakini ilikuwa bado haijatoka. Marehemu Madoda kama mwanamke alikuwa na haki zote zakuwa na girlfriend ambapo bahati ilimuangukia Catherine Magige ambalo ni jambo jema kabisa. Kwa bahati mbaya sana mambo yakiwa hayajakamilika pande zote bwana Madoda umauti ulimkuta ghafla akiwa kwenye mahusiano motomoto na Catherine.

Catherine aliona ana haki zote za ku-host msiba wa Madoda kama Mume wake akiwa any matrimonial bond either ndoa, watoto ama hata nyumba ya kuishi ambayo ni shared. Huku the original wife wana nyumba, watoto, ndoa na biashara.

Hivyo basi automatically msiba umekwenda nyumbani kwa Mke wa Madoda na mwili umelala huko leo ukiagwa na kupumzishwa na Catherine akiwa hana access kabisa ya kuhudhuria, kuaga, kuzika wala kuweka taji. Atabaki analia mwenyewe nyumbani kwake na mashost zake.


FUNZO: Yote yaliyotokea kwa Catherine kuwa na Madoda, kuishi nae haina kosa kabisa kwani alikuwa ametengana na mkewe na akamkuta Catherine yuko mwenyewe hapa hakuna shida yoyote. Kosa la Catherine ni mitandao ambayo alikuwa anaitumia kujimwambafai na mtu ambae bado ana pending issues na mke wake.

Catherine alikuwa ni mtu kurusha kila wanachofanya kwenye instgram kwamba ni Mumeo kumbe bado hajawa official. Pia hukutakiwa kuingilia ugomvi wao na kuanza kumtukana original wife. Wewe bado ni mdogo Mungu atakubariki utapata mume mwingine ila kama atakuwa Divorcee basi kula kimya kimya uache mbwembwe.

Poleni sana sisi tunajiandaa kwenda kumuaga Mume wako Madoda na kwenda kumpumzisha shambani kwake Nduruma.

MWISHO: Madoda kamaliza safari yake hapa duniani hivyo nawe zika mambo yote. Achana na mashost zako ambao watataka kuliendeleza hili swala. Madoda keshakufa hatarudi tena hivyo futa kila kitu.
Haya ndio matitizo ya sheria za ndoa, moja ktk ndoa akishasema sitaki hii ndoa ktk uhalisia hakuna ndoa, Talaka ziishie kwa Wakili wa serikali hakuna kupeleka mahakamani, Hapo huyo mwanamke aliyeachwa anapigania pesa na mali za Jamaa alizoacha hakuna kingine, Mwanaume alishamkataa akiwa hai leo anagombania maiti?. Na ktk ndoa kila mali ziwe na majina ya mwenye mali hakuna mali za familia, wanawake wa sasa mume akishakua na pesa kidogo waanzisha vurugu ili mume afe wachukue pesa, lazima wabunge wabadilishe hizi sheria tuwe na sheria kama za China na Ulaya. Hata Bill Gate yalimshinda akabwaga manyanga
 
Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria ๐Ÿ™„
Mnamlazimisha marehemu akubali mke aliyemkataa akiwa hai?
 
Tatizo pia Cath Ana historia chafu. [emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]ukahaba na kupola Waume wa wengi. Alimpola shigela kwa mtu. Kagesheki akawa mke wa 2
Kwa hiyo bunge la ndugai lina wabunge malaya malaya kama huyo Catherine, anataka kupelekewa moto na waume za watu.
 
Back
Top Bottom