Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Are you sure?Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria 🙄
Sure kivipi? Kwamba magige si mchepuko na kwamba kesi ya talaka haipo mahakamani na kwamba hukumu bado kwahiyo binti msuya bado ni mke halali wa maehemu?Are you sure?
watu wote wakati walio ingia kaburini walikuwa kumi tu? tena matajiri wastaarabu unafikiri na MATAGA wa mbagala?Acha umbeya,
Watu wote waliopo kwenye mazishi washindwe kawapiga hata mawe na fimbo wale wavamizi?
Hata picha za uvamizi umeshindwa kupiga.
Only in Tanzania mchepuko anapigania haki apewe msiba wakati Mke halali yupo hai na mbaya zaidi ni mtunga sheria lakini ndiyo wa kwanza kuvunja sheria [emoji849]
Sio mbovu lakini, anafaa kwa matumizi ya binadamu....Nikajua manzi mkali kumbe hivi. Sema anabebwa na majina yote mawili
Kwako mwalimu kashasha....😂😂Asante studio..
Picha na wasifu wa mwendazake???!!Baba lilikuwa handsome na mishiko kama yote ndo maana Cat anawakaa
Sent from my TECNO KA7 using JamiiForums mobile app
Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga ungaHuyu magige bonge la demu nshawahi kujiliipua DM kwake kuomba namba ka bwai bwai haku reply
Naskia alikua ana kampuni ya mikopoPicha na wasifu wa mwendazake???!!
Alikua ni nani?
Ooh so mheshimiwa anataka chake hapo, kama ntuyabaliwe hivi....Naskia alikua ana kampuni ya mikopo
TRAPicha na wasifu wa mwendazake???!!
Alikua ni nani?
Ndio life la kuunga unga asee tunajaribu bahati zetu[emoji23][emoji23]Mwanaume halisi na mwenye kisu hahangaiki na kuomba namba dm...yaan automatic utajikuta unapata wepesi tu kupata namba yake!yaan unaletewa tu namb! Masuala ya kuombana namba ni dalili kuu ya ww maisha kuunga unga
Ooh so mheshimiwa anataka chake hapo, kama ntuyabaliwe hivi....
Hapo sawa mkuuNdio life la kuunga unga asee tunajaribu bahati zetu[emoji23][emoji23]
Kabisa asee...Hapo tatizo sio kuzika tatizo ni kutambulika kwenye MIRATHI.
Pesa Pesaa
Picha na video zinakuja kaa kwa kutulia hapohapo usitoke[emoji848]Acha umbeya,
Watu wote waliopo kwenye mazishi washindwe kawapiga hata mawe na fimbo wale wavamizi?
Hata picha za uvamizi umeshindwa kupiga.
Ooooops![emoji134][emoji134]Huyo Catherine ni yule mbunge wa viti maalum ambaye anasemekana anapenda sana ngono holela?
Ni yule alikuwa anadaiwa kupigwa miti kwenye gari la mbunge?
Kwa Arusha kuna macharii fulani waliwahi kuzusha kuwa huyo binti tayari ana moto wa kidatu na yuko kwenye dawa, maana kuna jamaa alipita naye halafu akasimulia alikutana na vitu vya ajabu ajabu kule kwenye njia ya kuingia pangoni.