Pole Jacquiline, walimwengu ndo tulivyo

Hao watu wanatabia zao za kipekee,husitokee ujamwamn hata kama umeishi nae mpk uzeeni,husishangae akakupndua uzeen8

Watutsi nawajua vizur kulko wao wanavyojijua
 
My wish kwa huyu sister is to never see her goin' back in that ol' day lifestyle amtunzie huyu mzee his respect in public hata kama ataolewa na mwingine

other shits belongs to the family and not me.
 
Acha ubaguzi wewe. Waafrika sote ni sawa. Unapojadili issues usiingize ethnicity. Mnamuonea gere tu msichana mwenzenu. We you know nothing kuhusu Tutsi ethnicity. We tz mna tabu sana kila mtu mnamsema si mtz haya basi watz ni wewe na familia yako.
 
Mgonjwa huyo uliyemuona ‘last time’ alikuwa na haja gani ya kutangishwa mara Zanzibar mara Dubai, maharusi yote ya mjini, mahafla??? Busara haikutumika.

Ulikuwa nao ndani kujua nani alimtangisha?
Mgonjwa hana maamuzi binafsi?
Ndo kusema kila kitu anaamua Jack?
Hebu tuacheni kujifanya wajuaji wa maisha ya watu.
 
Hakuna utafiti unaoonyesha wachaga huua wame zao, ni dhana potovu tu kama tunayoijadili hapa, kwa wanaume wengi wenye mali maneno husemwa, haijalishi Mgogo, Mkwere , Mchaga au Mdigo, watanzania tunapenda sana hearsay
Familia nyingi za kichaga hasa wamachame unakuta mama na watoto tuu wanamiliki mali nyingi alafu r.i.p nyingi zimuendeee dingilai baba la baba.
 
Watu wanaongea ongea sana utadhani walikuwa wanaishi nao, na km walijua jack anatoka na huyo mwarabu, kwanini basi hawakusema kabla.
Mi nachukia sana watu wanaojifanya kila jambo la mtu wanalijua ili hali ya kwao mazito wamekaa nayo mioyoni mwao.
 
Wacha porojo wewe tafuta pesa zako nawewe uje uzungumzwe ukifa, unajificha kwenye pesa za kidume mwenzio? oooh tuko imara blah blah sijui jamii tafuta mkwanja wako hayo majungu achia wanawake mbaaf
Hlf yule mzee jamani mbona inaonekana ht alishaanza kuumwa kitambo ht kuzungumza ilikuwa ishakuwa shida.
Kwenye msiba wa Ruge alisindikizwa hd jukwaani.
Watu wanapenda kutafuta maneno tu
 
Maneno kama hayo yanayosambaa kama huna moyo wa chuma yanaumiza sana, inatakiwa uwe fedhuli wa roho mbaya kuweza kuyahimili, sijui Dada Jacky yupo kwenye hali gani kwa sasa, Mungu amzidishie kuwatia moyo wafiwa, time will tell
Mzee hafi kizembe na jamaa wa Msoga kagoma upuuzi huo
 
Aika Sana. Wachagga sisi ni taifa teule Kama Israel.
 
Unaingiza uchagga kwenye pesa za dume mwenzio! Oooh taifa kubwa sasa hizo takataka unatoa wapi wewe ? Tafuta zako ya Mengi hayakuhusu wewe fisi hizo ni issue za familia yake tuliza huto tukende

Ndiyo nimeshasema sasa. Kama imekuuma basi chomoa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…