Pole kwa Yanga: Rivers United ya Nigeria yarahisishiwa kazi na Simba, itapiga kwenye mshono ambao Simba iliusababisha!

Pole kwa Yanga: Rivers United ya Nigeria yarahisishiwa kazi na Simba, itapiga kwenye mshono ambao Simba iliusababisha!

[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaambiwa Rivers united wanafanya mazoez na BOKO HARAM[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
 
Ni tahadhari tu, Rivers wanafurahia mnyonge wao kajileta mwenyewe! atajuta kuingia robo fainali!
 
kwa hiyo unasema Simba ishapaka mafuta siyo !!
 
Yanga ishakufa tayari, wakatembeze bakuli tu mitaini na ndugu zao wagogo.
 
Mods muwe mnaweka Archive nyuzi kama hizi haina haja.
 
Mods muwe mnaweka Archive nyuzi kama hizi haina haja.
[emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji28][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Tukifanya sherehe ya kuwacheka wananuna
 
Rivers United itapiga kwenye mshono wa Yanga wa tarehe 16/04/2023!! "wananchi" msijifanye hamjaelewa!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Unaambiwa Rivers united wanafanya mazoez na BOKO HARAM[emoji196][emoji196][emoji196][emoji196]
Ni tahadhari tu, Rivers wanafurahia mnyonge wao kajileta mwenyewe! atajuta kuingia robo fainali!
Walikua wanashangilia 😆kupangwa nao
Sa huo mshono utakuaje!!?
Yanga ishakufa tayari, wakatembeze bakuli tu mitaini na ndugu zao wagogo.
Basi Ismail Aden Rage akiona nyuzi kama hizi kutoka kwa wana simba wenzake, anacheeka!!! 😁
 
Back
Top Bottom