Komeo Lachuma
JF-Expert Member
- Oct 31, 2014
- 7,926
- 17,030
Kikwete aliongea akisikitika sana mpaka leo kutopewa picha ambayo alipiga na Rihanna. Miaka mingi baada ya tukio ameamua kutoa yake ya moyoni.
Kiukweli kikwete alijitahidi sana. Alipiga picha na wasanii wengi wakiwemo boys 2 men. Kuna ambao aliweza pata picha zao akaja akapost na kuweka kumbukumbu.
Wengine walifanya uhuni.na mfano ni Rihanna. Mtu umeenda mpaka USA. unaomba kupiga picha na Rihanna mnapigwa picha. Halafu unategemea atakutumia au atapost kwenye page yake insta au facebook. Hapost. ovyo sana.
Waafrika weusi hawa wakiwa kule nao wanajiona kama wazungu. Mbwa sana hawa. Wameonesha dharau kubwa kwa Tanzania. Dawa nasi ni kuwafungia tu milango. Hatuwaogopi.
Nasema hivi. Rihanna tuma picha ya mzee Kikwete please acha ufala. Umemuumiza sana mzee.
Kiukweli kikwete alijitahidi sana. Alipiga picha na wasanii wengi wakiwemo boys 2 men. Kuna ambao aliweza pata picha zao akaja akapost na kuweka kumbukumbu.
Wengine walifanya uhuni.na mfano ni Rihanna. Mtu umeenda mpaka USA. unaomba kupiga picha na Rihanna mnapigwa picha. Halafu unategemea atakutumia au atapost kwenye page yake insta au facebook. Hapost. ovyo sana.
Waafrika weusi hawa wakiwa kule nao wanajiona kama wazungu. Mbwa sana hawa. Wameonesha dharau kubwa kwa Tanzania. Dawa nasi ni kuwafungia tu milango. Hatuwaogopi.
Nasema hivi. Rihanna tuma picha ya mzee Kikwete please acha ufala. Umemuumiza sana mzee.