t blj
JF-Expert Member
- Dec 2, 2011
- 7,035
- 16,705
Sasa si useme ?? Ukificha hapa unaenda kusemea wapi? Sema hapa ili kama kuna makosa tunafanya tuweze kujisahihisha.,Kiroho hili lina maana kubwa sana. Ingawa kiafrika kulisem itaonekana kama unamnanga mfiwa.
Hapa kuna kitu Mungu anamfundisha mzee Malecela na sitakisema kwenye jukwaa hili.
Kuzika watoto wanne is not a joke.