Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Hata mimi nimewaza kama ulivyowaza wewe,hawa wazee enzi za ujana wao au walipokuwa kwenye utawala unaweza kuta waliwaonea au kuwanyanyasa watu wengine au kuwatendea ubaya watu wengine so the karma is just working on behalf of the voiceless!
I can assume this to be 100% correct.

Na yeye apate maumivu makali sana akiwa hai.

Dunia inazunguka hii
 
Nilicommemt juzi ila mimi nilisema ni mambo ha kiroho. Maana yangu ilikuwa kama mzee yeye anakaribi au ana 90yrs old then wanaye woote anaondoka mmoja baada ya mwingine then kuna jambo kiroho linamtafuna.

Kwa siasa za kibongo sio hivi hivi.
Wabongo wengi mnapenda sana kukimbilia uchawi na mambo ya kiroho ambayo hamuwezi hata kuyathibitisha.

Watu wana matatizo yanayoweza kuelezewa kibaiolojia, kisikolojia etc, mnakimbilia uchawi tu.
 
Wabongo wengi mnapenda sana kukimbilia uchawi na mambo ya kiroho ambayo hamuwezi hata kuyathibitisha.

Watu wana matatizo yanayoweza kuelezewa kibaiolojia, kisikolojia etc, mnakimbilia uchawi tu.
Ndio maana wabongo ni rahisi sana kuwa conned by politicians/waganga wa kienyeji/preachers kwa sababu ya ujinga wao wa kuwa wavivu kufikiri!
 
Wabongo wengi mnapenda sana kukimbilia uchawi na mambo ya kiroho ambayo hamuwezi hata kuyathibitisha.

Watu wana matatizo yanayoweza kuelezewa kibaiolojia, kisikolojia etc, mnakimbilia uchawi tu.
Na hapo usishangae anaecomment haya ya uchawi ni mtu msomi kabisa mwenye uelewa na mambo na anajua kabisa tatizo la Marehemu ilikuwa ugonjwa wa moyo.Lakini bado akili yake imempeleka kuamini kuna matunguri yamehusika hapa.
 
Ndio maana wabongo ni rahisi sana kuwa conned by politicians/waganga wa kienyeji/preachers kwa sababu ya ujinga wao wa kuwa wavivu kufikiri!
Tuna safari ndefu sana na kifupi waganga wa kienyeji wamechukua nafasi kubwa sana kwenye vichwa vyetu.
 
Kama mimi ningekuwa ni mzee mwenyewe ningeiuza ile nyumba ya Sea View kuondoa hilo wingu la vita vya kifamilia. fedha zinopatikana kutokana na mauzo ningewagawia watoto kila mtu aaanzie na "deposit" ya nyumba zao maana wamesoma na wana kazi.

Ila Baharia alipokuwa majuu nae alikosea mahala lakini bado (kutokana na nafasi ya familia kwenye jamii) alikuwa na nafasi ya kurekebisha mambo hapa na pale khasa watoto wake.

Hivyo nae angejenga nyumba kubwa tu kwa ajili ya wanae ili wapate pa kuanzia maisha, Nyumba kubwa yenye vyumba vya kujitosheleza vinojitegemea. Hata kama kuna matatizo na wanae lakini angeonekana bado alikuwa na mawazo nao.

Nae mama Anne nae akiwa mbunge alipaswa kuwa na nyumba hadi nne za uhakika za kuwaachia wanae.

Mbona mama Anne Makinda amejipanga uzuri na moja ya nyumba alizonazo ya familia ipo pale Kijitonyama na wametulia tu? Hivyo akiwa Dar kuna nyumba na watoto wake na wajukuu hawana shida ya pa kufikia kwa muda.

Lazima ukiwa kichwa cha familia ujipange na upange la sivyo ukifa waacha taabu, laana na visasi nyuma yako.
Watoto wanasomeshwa na kuhakikisha wanapewa mazingira mazuri, safi na salama wakati wanakua, mzazi sio jukumu lake kuwajengea nyumba wakiwa wakubwa, watajenga wenyewe na hata urithi watapata kama wana adabu na sio haki yao
 
Back
Top Bottom