Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Vita sasa ni ile nyumba ya Sea view wale watoto wa Malecela na wa Kilango. Hope mzee atakuwa kaweka mambo sawa.Siku akichomoka na Anne akabaki,vita itakuwa kubwa na watoto wa Mzee Malecela.
Kama mimi ningekuwa ni mzee mwenyewe ningeiuza ile nyumba ya Sea View kuondoa hilo wingu la vita vya kifamilia. fedha zinopatikana kutokana na mauzo ningewagawia watoto kila mtu aaanzie na "deposit" ya nyumba zao maana wamesoma na wana kazi.

Ila Baharia alipokuwa majuu nae alikosea mahala lakini bado (kutokana na nafasi ya familia kwenye jamii) alikuwa na nafasi ya kurekebisha mambo hapa na pale khasa watoto wake.

Hivyo nae angejenga nyumba kubwa tu kwa ajili ya wanae ili wapate pa kuanzia maisha, Nyumba kubwa yenye vyumba vya kujitosheleza vinojitegemea. Hata kama kuna matatizo na wanae lakini angeonekana bado alikuwa na mawazo nao.

Nae mama Anne nae akiwa mbunge alipaswa kuwa na nyumba hadi nne za uhakika za kuwaachia wanae.

Mbona mama Anne Makinda amejipanga uzuri na moja ya nyumba alizonazo ya familia ipo pale Kijitonyama na wametulia tu? Hivyo akiwa Dar kuna nyumba na watoto wake na wajukuu hawana shida ya pa kufikia kwa muda.

Lazima ukiwa kichwa cha familia ujipange na upange la sivyo ukifa waacha taabu, laana na visasi nyuma yako.
 
Kuna mzee namjua amezika watoto.wake 11 na mama yao.

Tena wakiwa wakubwa na wafanyakazi wote.

Walikufa mmoja baada ya mmoja na yeye mpaka leo yupo peke yake

Aliwapeleka shule na wengine nilisoma nao.

Aliwasomesha sana wanae ila ndio hivyo tena.

Ni mitihani binadamu tunaonyeshwa.

Ni kawaida
Walimuachia wajukuu?
 
OIF.IZbuKpy8ek6Z9mtXRIbb9Q
Inauma!

Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.

Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.

Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.

Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.

RIP Le Mutuz
Pesa na mafanikio yoyote ya udhalimu ni mabaya sana... Huwezi kulamba asali ya nchi hii kizazi chako kikawa salama amini amini nakwambia kuna mahali utavurugwa tu dunia yote uione chungu...
 
Duh ,km ni kweli basi kazi ipo!
Ss na mkewe je? Nae shida nn?
Sidhani km hajielewi either amefungwa au alipewa mashart magumu mno alipotaka kurekebisha.

Huyo jaji aneitwa mwenda sijui, nimesoma kule utube kuwa nae ni mgonjwa mno tena wa muda mrefu.
nikasema mhh ,kumekucha hapa ....

hivi hao watt wanakufa Kwa umri upi ?
Na huyo jaji naona atafatia baada ya lemutuz wallah.
Hii Dunia Ina mitihani Hadi Huwa nawaza kuwa maisha hayana maana kabisa
 
Ukute mama aliona mali kwa mzee,ndiyo zikamvuta.Ngeleja inasemekana anamuibia mzee.
Huyo mama alimtoa Tatu Ntimizi,watu wote walijua Tatu Ntimizi ndo ataolewa,hadi mzee alibadili dini na kujiita Jumanne cof of Tatu,ila Anne kapambana mpaka akaolewa yeye.Mke wa ndoa nae aliugua kimaajabu alitibiwa mpaka Kigoma huko enzi zile Makamba ni mkuu wa mkoa Kigoma. Ikute mama wa watu michepuko ndo walimpiga juju. Ila mzee nae alikuwa zip wazi enzi zake ,mweh..
 
Huyu Babu ni mkongwe anaongea HADI na mawziri waliopo humu nchini kama anampigia rafiki take wa karibu!!

Ananiambia siasa ni mfumo wa kilimwengu huwezi ingia halafu ukadumu hivi hivi!

Lazima uwe umepikwa eti ki Mungu Mungu huchomoki!!!
Ni kweli kwenye siasa Kuna mambo mengi ya Giza, lakini pia kama una Mungu kwenye na umemaanisha unachomoka vzr tu!
Shida ni kuwa watu Kwa Mungu hawapo,wamemfanya Mungu km mganga hivi ,michanganyo kibao ...huwezi ona nguvu zake km una michanganyo...
Waende Kwa Mungu halafu uzinzi wamuachie nani? Maana hili eneo Kwa viongozi 🙌🙌🙌(nimesoma CBE dodoma mkuu ) naelewa nachokisema!
 
Babu yangu mzaa mama alifanya huo usenge kwa kuua watoto amebaki mwanae mmoja tu, pumbavu sana yule cheupe
Khaaaa
Sa aliyebaki atapona kweli!? Na nyie wajukuu je? Mko salama kweli km ye ndo mhusika?
Ila mkuu ulijuajee km ye ndo mhusika?
 
Kama mimi ningekuwa ni mzee mwenyewe ningeiuza ile nyumba ya Sea View kuondoa hilo wingu la vita vya kifamilia. fedha zinopatikana kutokana na mauzo ningewagawia watoto kila mtu aaanzie na "deposit" ya nyumba zao maana wamesoma na wana kazi.

Ila Baharia alipokuwa majuu nae alikosea mahala lakini bado (kutokana na nafasi ya familia kwenye jamii) alikuwa na nafasi ya kurekebisha mambo hapa na pale khasa watoto wake.

Hivyo nae angejenga nyumba kubwa tu kwa ajili ya wanae ili wapate pa kuanzia maisha, Nyumba kubwa yenye vyumba vya kujitosheleza vinojitegemea. Hata kama kuna matatizo na wanae lakini angeonekana bado alikuwa na mawazo nao.

Nae mama Anne nae akiwa mbunge alipaswa kuwa na nyumba hadi nne za uhakika za kuwaachia wanae.

Mbona mama Anne Makinda amejipanga uzuri na moja ya nyumba alizonazo ya familia ipo pale Kijitonyama na wametulia tu? Hivyo akiwa Dar kuna nyumba na watoto wake na wajukuu hawana shida ya pa kufikia kwa muda.

Lazima ukiwa kichwa cha familia ujipange na upange la sivyo ukifa waacha taabu, laana na visasi nyuma yako.
Kumbe Anne Malecela Mbunge ndiye alikuwa mke wa Lemutuz??
 
Jana nilimuuliza mzee mmoja kada na mtaalam sana wa jadi kwamba ni Nini hiki!!?
Akaniambia wakati mzee anatafuta maisha ya kisiasa alienda sehem kurekebishiwa MAMBO fulani sasa baada ya kupata akakiuka masharti sasa hayo madudu yanalipa KWA kuchukua wanafamilia baadae ataenda na yeye!!!

Nikamdadisi kwani ANAWEZA saidiwa!?akasema ndio sema ye mwenyewe hajitambui kama yanamla hayo madudu!!

Nilimshangaaa sana Mzee yaani aiseh!

Haya maisha HAYA!!
Nilicommemt juzi ila mimi nilisema ni mambo ha kiroho. Maana yangu ilikuwa kama mzee yeye anakaribi au ana 90yrs old then wanaye woote anaondoka mmoja baada ya mwingine then kuna jambo kiroho linamtafuna.

Kwa siasa za kibongo sio hivi hivi.
 
Back
Top Bottom