Tayana-wog
JF-Expert Member
- Feb 26, 2012
- 24,844
- 29,126
OkayNaomba unitag nipitie huo Uzi plz
Nimekuita kule nenda...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
OkayNaomba unitag nipitie huo Uzi plz
Jana nilimuuliza mzee mmoja kada na mtaalam sana wa jadi kwamba ni Nini hiki!!?
Akaniambia wakati mzee anatafuta maisha ya kisiasa alienda sehem kurekebishiwa MAMBO fulani sasa baada ya kupata akakiuka masharti sasa hayo madudu yanalipa KWA kuchukua wanafamilia baadae ataenda na yeye!!!
Nikamdadisi kwani ANAWEZA saidiwa!?akasema ndio sema ye mwenyewe hajitambui kama yanamla hayo madudu!!
Nilimshangaaa sana Mzee yaani aiseh!
Haya maisha HAYA!!
Huyu Babu ni mkongwe anaongea HADI na mawziri waliopo humu nchini kama anampigia rafiki take wa karibu!!Hii Inawezekana pia,siasa ina mambo mengi
Katika kuhangaika kuna sehemu alipita na kasahau
Babu yangu mzaa mama alifanya huo usenge kwa kuua watoto amebaki mwanae mmoja tu, pumbavu sana yule cheupeJana nilimuuliza mzee mmoja kada na mtaalam sana wa jadi kwamba ni Nini hiki!!?
Akaniambia wakati mzee anatafuta maisha ya kisiasa alienda sehem kurekebishiwa MAMBO fulani sasa baada ya kupata akakiuka masharti sasa hayo madudu yanalipa KWA kuchukua wanafamilia baadae ataenda na yeye!!!
Nikamdadisi kwani ANAWEZA saidiwa!?akasema ndio sema ye mwenyewe hajitambui kama yanamla hayo madudu!!
Nilimshangaaa sana Mzee yaani aiseh!
Haya maisha HAYA!!
Wengine hutoa kafara watoto wao kuna watu wazima wengine hovyo sana inanaliza watoto kwa kuwatoa makafara yasiyoishaHuko kwetu kuna mzee alizika namna hii, watoto walitangulizana hadi kijiji kikaogopa, alijaliwa watoto wengi lakini vijana wake wanne walianguka kwa space ya mda mfupi sana, tena wote wa kiume. Akaitwa na wazee wenzake, wakaongea, sijui kilichofanyika ila baada ya hapo bahari ikawa shwari.
Vijijini wengine wazee kama hao hufukuzwa vijijini na kukimbizwa kwa mikuki na marungu kuwa marufuku kuonekana kijijiniBabu yangu mzaa mama alifanya huo usenge kwa kuua watoto amebaki mwanae mmoja tu, pumbavu sana yule cheupe
Mtoto wa ujanani wa mzee,du inaumiza sana, Watoto wa mzee wanakufa vifo vya ghafla sana, marehemu Ipi, Senyagwa, le MUTUZInauma!![]()
Mtu akiwa wa umri, anategemea kimaisha watoto kumzika baba au wazazi.
Kwa mzee Samwel Malecela imekuwa kinyume.
Kwa kushuhudia msiba wa mtoto wake wa nne, imesikitisha sana.
Nimehudhuria shughuli za kumuaga Le Mutuz, Le Mbebez, William Samwel Malecela.
RIP Le Mutuz
Kanuni ninrahisi sanaDuh noma sana! Ila wakati mwingine ni masuala ya kiroho sema watu hawaelewi!
Vijijini wengine wazee kama hao hufukuzwa vijijini na kukimbizwa kwa mikuki na marungu kuwa marufuku kuonekana kijijini
Sasa mke wa ndoa ndo alieolewa,Wanaume si huwa wanakuwa na girl friends wengi.Sema anachagua mmoja tu wa kumuoa .Ndo Ezerina Mwaipopo aliubamba moyo wa John.Akawa mkewe.Huyu mama alikuwa mwanasheria msomi. Na ndo maana hakuzaa kilaza.Wanae wote ni vipanga.Aiseee 🤔
Sa mke wa ndoa nae (marehemu) si alimpiku mama ake na Huyu marehemu William!
Maana imebidi nikasome historia yake aiseee, Kuna kitu hakiko sawa
Kama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Ndugu zake waliofariki ni wanne.ipi,dr Merle na kuna wawili wali pats ajali pale mbuyuni osterbayKama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Le mutual atakuwa watano,kuna ndugi zake wawili walifariki kwa ajali pale mbuyuni osterbayWa nne ni yupi? (Ipyana, Mwele na William - RIP)
In attendace:
MC Haji Manara
Mwekekiti Kamati -Kimbau
Naibu Spika Zungu
Mbunge Jerry Slaa
Mbunge Catherine Magige((Le Mbebez)
Mbunge Babu Tale-"PhD"
Mstahiki Meya WA JIJI
Maxence Melo
Wakurugenzi DSTV, ASAS, Chefs Pride,
Mabibi na mabwana na waombolezaji!
Kama ulikuwepo tia neno.
UPDATE
Aniwie radhi sana mheshimiwa Bashite a.k.a Paul Makonda, naye alikuwepo
[emoji26]Ndo bas tena
Una hojaWakati mwingine hayo huwa ni maagano ambayo baba aliyaingia huko nyuma katika heka heka z kutafuta maisha ingawa hili limekaa kiroho zaid hapa watakao nielewa ni wale wa kiroho zaidi
Halo huyo Anne kilango atakuwa kaenda kwao huko upareni Kuna kijijini kinaogopeka Kwa uchawi sio Bure aisee.Huyo mama alimtoa Tatu Ntimizi,watu wote walijua Tatu Ntimizi ndo ataolewa,hadi mzee alibadili dini na kujiita Jumanne cof of Tatu,ila Anne kapambana mpaka akaolewa yeye.Mke wa ndoa nae aliugua kimaajabu alitibiwa mpaka Kigoma huko enzi zile Makamba ni mkuu wa mkoa Kigoma. Ikute mama wa watu michepuko ndo walimpiga juju. Ila mzee nae alikuwa zip wazi enzi zake ,mweh..
Mbona majanga haya huyu Mzee karibia akute majanga ya AyubuMwendwa yupo hai wewe.Alietangulia mbele ya haki ni Dk Irene.
Mwendwa yupo hai sema nae siku hizi yupo kwenye wheel chair, alipatwa na kiharusi.