Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Pole mzee Malecela, amepoteza watoto wanne!

Halo huyo Anne kilango atakuwa kaenda kwao huko upareni Kuna kijijini kinaogopeka Kwa uchawi sio Bure aisee.
Huyo Tatu Ntimizi bado yuko hai?
Atakuwa yupo hai,aliwahi kuwa mbunge na Naibu waziri.Angekuwa hayupo hai kifo chake kingechapishwa humu.Atakuwa yupo analea wajukuu.
 
Mimi ushauri wangu:

Wazazi, iwe baba au mama au nyote msipungukiwe upendo kwa watoto wenu. Sijui katika uislam, lakini katika ukristo, soma vitabu vyote na kitabu kikuu cha biblia, hakuna hata sehemu moja ilipoandikwa kuwa mimba ni dhambi au kupata mimba ni dhambi au mtoto wa aina fulani ni dhambi. Dhambi ni uzinzi, mimba siyo dhambi, mtoto siyo dhambi. Bali tunaambiwa wapendeni watoto wenu wasije wakakata tamaa. Tubu uzinzi wako, kisha katimizi wajibu wako kwa mwanao.

Na kwa watoto waliofanywa wa hadhi ya chini kwa sababu ya historia ya kupatikana kwao, msihuzunike na kujilaani, mmekuja Duniani kwa mapenzi ya Mungu. Jibidisheni, pambaneni, msikose kutimiza wajibu wenu wa kuwaheshimu wazazi wenu.
Kumbukeni Mungu amewashusha wenye enzi katika viti, akawakuza wanyenyekevu. Mungu wetu huwabariki zaidi wanyenyekevu waliodharaulika ili kuwafedhehesha wenye nguvu waliojawa kiburi.

Jiulizeni, mfalme Sulemani alizaliwa kwa mama yupi? Obedi baba yake Yese, Yese aliyekuwa Baba yaje Daud, alikuwa wa mama Yupi? Maadam umezaliwa, ni binadamu kama wengine, mengine yatategemea juhudi zako na baraka za Mungu.
Well said mkuu..huo upande wa pili wana binadamu haramu
 
Halo huyo Anne kilango atakuwa kaenda kwao huko upareni Kuna kijijini kinaogopeka Kwa uchawi sio Bure aisee.
Huyo Anna Kilango Malecela mwenyewe 2015 alikoswa koswa kuuawa akiwa naibu waziri kwa kuvamiwa na majambazi yaliyomjeruhi akiwa safarini nusura naye aondoke alikoswa koswa
 
Huyu Babu ni mkongwe anaongea HADI na mawziri waliopo humu nchini kama anampigia rafiki take wa karibu!!

Ananiambia siasa ni mfumo wa kilimwengu huwezi ingia halafu ukadumu hivi hivi!

Lazima uwe umepikwa eti ki Mungu Mungu huchomoki!!!
Kwa hiyo hata JPM kule kumtaja Mungu kwenye kila kitu ni maigizo tu? Ni kwamba naye alipikwa haswa?
 
Kama ulikuwa unamsoma Le mutuz ni kwamba ndugu zake Kwa kupitia mama Yao walikuwa wanambagua na kuweka mazingira ya yeye asije kurithi chochote Kwa Baba Yao ..
So hao ndugu zake ndo hao karibu watatu wakafa kabla yake ...na kabla ya Baba yao...
Na the fact le mutuz aliwahi zungumzia watu kugombania urithi wa Baba yao huku Baba yao hajafa ...now unaona kilichotokea...ni kuwa kama waliogombania kumrithi Mzee wao..Wengi wao kama sio wote wamekufa wao.....a bit kama uchuro hivi Kwa watoto kugombea urithi wa mtu ambae hajafa ...kama ni kweli hiii ndo ilikuwa fact ... according to marehemu mwenyewe... nilivyoelewa Mimi ..
Mzee alitekwa na mama wa kinyakys

Kuna vitu vingine unaweza ukazungumza humu ukaonekana
Kama unamkejeli marehemu
Ila all in all marehemu alipitia kipindi
Kigumu sana..

Ova
 
Hakuwa mtoto wa ndoa, babayake alimkataa akiwa mdogo kuficha uzinzi wake kwa mke wake wa ndoa. Pendeni watoto wenu na HAKUNA MTOTO WA NJE USIMFICHE WAAMBIE FAMILIA KWAMBA HUYU NI DAMU YENU. R,I,P WILIAM


Sent from my TECNO B1 using JamiiForums mobile app
Dah hapa natamani kujazia nyama
Sema sasa itakuwa kama tunamdhihaki marehemu
Ila wazee wetu hawa sometime wanazingua sana

Ova
 
Jana nilimuuliza mzee mmoja kada na mtaalam sana wa jadi kwamba ni Nini hiki!!?
Akaniambia wakati mzee anatafuta maisha ya kisiasa alienda sehem kurekebishiwa MAMBO fulani sasa baada ya kupata akakiuka masharti sasa hayo madudu yanalipa KWA kuchukua wanafamilia baadae ataenda na yeye!!!

Nikamdadisi kwani ANAWEZA saidiwa!?akasema ndio sema ye mwenyewe hajitambui kama yanamla hayo madudu!!

Nilimshangaaa sana Mzee yaani aiseh!

Haya maisha HAYA!!
Duh ,km ni kweli basi kazi ipo!
Ss na mkewe je? Nae shida nn?
Sidhani km hajielewi either amefungwa au alipewa mashart magumu mno alipotaka kurekebisha.

Huyo jaji aneitwa mwenda sijui, nimesoma kule utube kuwa nae ni mgonjwa mno tena wa muda mrefu.
nikasema mhh ,kumekucha hapa ....

hivi hao watt wanakufa Kwa umri upi ?
 
Dah hapa natamani kujazia nyama
Sema sasa itakuwa kama tunamdhihaki marehemu
Ila wazee wetu hawa sometime wanazingua sana

Ova
Alizaliwa kabla according to nilivyosoma story...
Ile. Kwamba mama mzazi na mama wa kambo walikuwa marafiki na baadae kuwa maadui wakubwa ,Kuna kitu hapa katikati hakiko sawa Kwa Hawa wamama na wote ndo walishakufa ..
Sad, mhanga wa hiyo vita akawa mtt ,jmn!
Walivyo wanafiki, kwenye wasifu wa marehemu nimesikiliA utube kule,eti ndo Leo hii wanasema alikuwa mtt wa kwanza wa Mzee jamani ,hizi familia 🙌🙌.

Wakati walikuwa wanamtenga akiwa hai....
 
Alizaliwa kabla according to nilivyosoma story...
Ile. Kwamba mama mzazi na mama wa kambo walikuwa marafiki na baadae kuwa maadui wakubwa ,Kuna kitu hapa katikati hakiko sawa Kwa Hawa wamama na wote ndo walishakufa ..
Sad, mhanga wa hiyo vita akawa mtt ,jmn!
Walivyo wanafiki, kwenye wasifu wa marehemu nimesikiliA utube kule,eti ndo Leo hii wanasema alikuwa mtt wa kwanza wa Mzee jamani ,hizi familia 🙌🙌.

Wakati walikuwa wanamtenga akiwa hai....
Kwenye mazishi ya Mwele, katika orodha ya watoto wa John Malecela huyo marehemu Le Mutuz was left out. Hata mwenyewe hakuhudhuria mazishi ya dada yake!!
 
Kwenye mazishi ya Mwele, katika orodha ya watoto wa John Malecela huyo marehemu Le Mutuz was left out. Hata mwenyewe hakuhudhuria mazishi ya dada yake!!
Ni kweli hata msiba wa huyomdogo ake wa kiume lupy sijui ,walikuwa wanamtenga ,mtt mwenyewe 1 Tena wamemkuta
Je wangekua na wazazi km wa kwetu Hawa ? Watt Kila Kona mpk aibu wangeganyaje?
 
Tutasema sana lakini ni kawaida tuu, vifo kwenye familia vinatokea sana na kila siku, na ukiangalia vizuri baadhi ya watoto wake wameishi zaidi miaka zaidi ya 50 au 60, kwa bongo hiyo miaka wengi hawafikishi, bongo ukifika 70 umeishi sana na mara nyingi umri huo ni magonjwa tuu kuanzia kiuno mpaka nywele
 
Lupi hata ukimuangalia alikuwa overweight na nafikiri lifestyle yake ya pombe na misosi haikuwa nzuri sana
Kwao wote Wana miili mikubwa hata Samweli bonge la mtu kaenda hewani.., I think sbb mama zao wanyak's,maana wale Wana miili mikubwa
Nimeona utube wanasema huyo jaji ni mgonjwa sna🤔
Nikasem,kumekucha 😷
 
Kwenye mazishi ya Mwele, katika orodha ya watoto wa John Malecela huyo marehemu Le Mutuz was left out. Hata mwenyewe hakuhudhuria mazishi ya dada yake!!
Inaonekana lemutuz hakupata some love from family maana nasikia hata watoto wake na x wake ilikuwa vita tupu, sometimes maisha ndio hivyo ila safari ni moja kwa kila mtu na kila mtu na changamoto zake...RIP lemutuz
 
Inaonekana lemutuz hakupata some love from family maana nasikia hata watoto wake na x wake ilikuwa vita tupu, sometimes maisha ndio hivyo ila safari ni moja kwa kila mtu na kila mtu na changamoto zake...RIP lemutuz
Ni kweli ukiona mtu amakula bata na kutaka kuthibitishia umma kuwa ana furaha kwa kutumia nguvu know he has someting to hide.
 
Back
Top Bottom