jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 36,197
- 29,717
Hawa ndio wanadamu!
Kipenzi chako na baba wa familia alikesha na mafaili wizarani na baadae ikulu na pengine aliwasahau kama wanafamilia kutokana na kujitoa kwake kama sadaka ya watanzania!
Hakika usifadhaike ,usilie,usijute bali muombe Mungu sana.
Wanadamu wabaya ndivyo walivyo...hawapendi anayefanikiwa haswa aliyeanzia katika magumu.
Piga konde moyo ...umma uliopata maji,barabara,vituo vya huduma vya afya na wanyonge wote waliopata ahueni wataombea baraka roho ya marehemu ipumzike kwa amani ya milele.
Usilipe ubaya kwa ubaya bali endeleza wema wa baba yetu aliyetangulia.
Tuliokunywa maji salama huku vijijini na tuliopata barabara ya kufika hospitali kwa wakati na tukakuta vifaa vya matibabu kamwe hatuwezi kusahau na kuacha kusali na kumuombea mema THE LATE ,THE LEGEND JOHN POMBE MAGUFULI.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Kipenzi chako na baba wa familia alikesha na mafaili wizarani na baadae ikulu na pengine aliwasahau kama wanafamilia kutokana na kujitoa kwake kama sadaka ya watanzania!
Hakika usifadhaike ,usilie,usijute bali muombe Mungu sana.
Wanadamu wabaya ndivyo walivyo...hawapendi anayefanikiwa haswa aliyeanzia katika magumu.
Piga konde moyo ...umma uliopata maji,barabara,vituo vya huduma vya afya na wanyonge wote waliopata ahueni wataombea baraka roho ya marehemu ipumzike kwa amani ya milele.
Usilipe ubaya kwa ubaya bali endeleza wema wa baba yetu aliyetangulia.
Tuliokunywa maji salama huku vijijini na tuliopata barabara ya kufika hospitali kwa wakati na tukakuta vifaa vya matibabu kamwe hatuwezi kusahau na kuacha kusali na kumuombea mema THE LATE ,THE LEGEND JOHN POMBE MAGUFULI.
KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!