Pole Sana Mama Janeth Magufuli pokea upendo na faraja ya umma wa Watanzania hata milele

Pole Sana Mama Janeth Magufuli pokea upendo na faraja ya umma wa Watanzania hata milele

Hawa ndio wanadamu!

Kipenzi chako na baba wa familia alikesha na mafaili wizarani na baadae ikulu na pengine aliwasahau kama wanafamilia kutokana na kujitoa kwake kama sadaka ya watanzania!

Hakika usifadhaike ,usilie,usijute bali muombe Mungu sana.

Wanadamu wabaya ndivyo walivyo...hawapendi anayefanikiwa haswa aliyeanzia katika magumu.

Piga konde moyo ...umma uliopata maji,barabara,vituo vya huduma vya afya na wanyonge wote waliopata ahueni wataombea baraka roho ya marehemu ipumzike kwa amani ya milele.

Usilipe ubaya kwa ubaya bali endeleza wema wa baba yetu aliyetangulia.

Tuliokunywa maji salama huku vijijini na tuliopata barabara ya kufika hospitali kwa wakati na tukakuta vifaa vya matibabu kamwe hatuwezi kusahau na kuacha kusali na kumuombea mema THE LATE ,THE LEGEND JOHN POMBE MAGUFULI.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
Pole wanapewa wanaohuzunika
 
Hivi tukiamua kufikiri kwa muktadha wa kitabu ina maana kabendera alipanga kisasi dhidi ya Magufuli??Je alifikia hatua ipi ya kisasi??nani yupo nyuma yake kwenye kisasi??nani alimuwezesha kulipa kisasi??
Hapa narudi kwenye msemo wetu muhimu...tumuachie Mungu!!

..suala la Ben Saanane, Azory, Akwilina, yote tumuachie Mungu?

..kwanini serikali isiunde Tume kuchunguza, na kutupatia ukweli, halafu baada ya hapo ndio tumuachie Mungu.
 
..Tulipinga utekaji, na mauaji, wakati wa Magufuli.

..Tunapinga utekaji, na mauaji, wakati wa Samia.

..Ndio maana tunasisitiza iundwe Tume Huru kuchunguza nini kilitokea, na nani alihusika.

..Tusipofanya hivyo wahusika watajisikia wako huru kufanya udhalimu wao.

..TANZANIA ISIYO NA UKATILI WA VYOMBO VYA DOLA INAWEZEKANA.
Naunga mkono hoja.
P
 
..Tulipinga utekaji, na mauaji, wakati wa Magufuli.

..Tunapinga utekaji, na mauaji, wakati wa Samia.

..Ndio maana tunasisitiza iundwe Tume Huru kuchunguza nini kilitokea, na nani alihusika.

..Tusipofanya hivyo wahusika watajisikia wako huru kufanya udhalimu wao.

..TANZANIA ISIYO NA UKATILI WA VYOMBO VYA DOLA INAWEZEKANA.
Mnapingaje mauaji hali ya kuwa wenzenu wana taratibu zao na sheria za siri ambazo hazipo public?
 
..sisi tunataka waliohusika wafahamike,wachukuliwe hatua, au wasamehewe. Kwamba makosa yalifanyika chini ya Raisi yupi hilo sio muhimu kwetu.
US Army wana kipimo chao wanaita DEFCON, kuna levels 5, ikifika level 1 ni hatari zaidi na jeshi hujiandaa kukabiliana vita ya nuclear...

Hii mifumo ipo huku Africa tena ni siri, wana viapo, sheria intel n.k.... na kazi ndio hiyo ku deal na vyama pinzani, wanasiasa , taasisi ambapo inaonekana kwao ni threat hasa kukiondoa chama tawala madarakani...

Nadhani ni mifumo iliyopo ndani yenye nguvu sana kuliko hata hio mnaita mihimili...

Hata aingie malaika kutawala bado utekaji, utesaji na mauaji hautokoma...

Kazi kwenu mnapoona kwamba mahakama ina uwezo kuzuia...
 
Hawa ndio wanadamu!

Kipenzi chako na baba wa familia alikesha na mafaili wizarani na baadae ikulu na pengine aliwasahau kama wanafamilia kutokana na kujitoa kwake kama sadaka ya watanzania!

Hakika usifadhaike ,usilie,usijute bali muombe Mungu sana.

Wanadamu wabaya ndivyo walivyo...hawapendi anayefanikiwa haswa aliyeanzia katika magumu.

Piga konde moyo ...umma uliopata maji,barabara,vituo vya huduma vya afya na wanyonge wote waliopata ahueni wataombea baraka roho ya marehemu ipumzike kwa amani ya milele.

Usilipe ubaya kwa ubaya bali endeleza wema wa baba yetu aliyetangulia.

Tuliokunywa maji salama huku vijijini na tuliopata barabara ya kufika hospitali kwa wakati na tukakuta vifaa vya matibabu kamwe hatuwezi kusahau na kuacha kusali na kumuombea mema THE LATE ,THE LEGEND JOHN POMBE MAGUFULI.

KWA HISANI YA MTU WA TANZANIA!
-Hata Lissu hawezi kumsahau.
-Hata wazazi wa Ben Saanane hawawezi kumsahau.
Nao pia ni Watanzania wenye haki sawa na Watanzania wengine.
 
US Army wana kipimo chao wanaita DEFCON, kuna levels 5, ikifika level 1 ni hatari zaidi na jeshi hujiandaa kukabiliana vita ya nuclear...

Hii mifumo ipo huku Africa tena ni siri, wana viapo, sheria intel n.k.... na kazi ndio hiyo ku deal na vyama pinzani, wanasiasa , taasisi ambapo inaonekana kwao ni threat hasa kukiondoa chama tawala madarakani...

Nadhani ni mifumo iliyopo ndani yenye nguvu sana kuliko hata hio mnaita mihimili...

Hata aingie malaika kutawala bado utekaji, utesaji na mauaji hautokoma...

Kazi kwenu mnapoona kwamba mahakama ina uwezo kuzuia...

..mkiacha hali iendelee namna hii ndio mnatoa mwanya wa kila mtu kutuhumu anavyojisikia.

..Na tuhuma dhidi ya Magufuli chanzo chake ni mazingira hayo mnayoyalea.

..TANZANIA BILA UKATILI WA VYOMBO VYA DOLA INAWEZEKANA.
 
..mkiacha hali iendelee namna hii ndio mnatoa mwanya wa kila mtu kutuhumu anavyojisikia.

..Na tuhuma dhidi ya Magufuli chanzo chake ni mazingira hayo mnayoyalea.

..TANZANIA BILA UKATILI WA VYOMBO VYA DOLA INAWEZEKANA.
Toka enzi za mzee Ben kurudi nyuma na hadi sasa haya yapo, utofauti ni kwamba hivi sasa ujio wa social medias unasaidia pakubwa watu kufahamu yanayoendelea na kupaza sauti , na habari zinafika kwa wakati...

Nadhani kuna yaliyotokea nyuma yanatisha zaidi...

Hivyo vitengo vipo, ndio yale unashangaa mkuu wa wilaya anaongea kwa jeuri na makamu wa rais na kumjibu atakavyo.
 
kuna kikundi ovu mtandaoni kinaratibu mapandikizi ya chuki kwa watanzania

kila kukicha kimekua kikitoa mada na michango isiyo na heshima kwa viongozi wa nchi
Kwa bahati huoujingawao unaishia humu humu JF, hukonje watu wanaangalia fact.

Kujaribu kubadilisha uwongo kuwa ukweli inabidi ukweli usionekane kabisa nainabidi kutumia akilinyingi sio ujingaujinga wanaousambaza kwenye vitabu.



Sent from my Infinix X6511B using JamiiForums mobile app
 
Yaani wote wanaompenda JPM na kuziimba sifa zake ni vilaza. Wengi hawakumjua na kumzingatia. Wangesafiri walahu safari moja kutoka Singida ~ Mwanza wanayaone yale mashimo kwenye barabara za makandarasi wa JPM bila shaka watauona utapeli wake!
Lilikuwa Jizi sana lile lijamaa!
 
Toka enzi za mzee Ben kurudi nyuma na hadi sasa haya yapo, utofauti ni kwamba hivi sasa ujio wa social medias unasaidia pakubwa watu kufahamu yanayoendelea na kupaza sauti , na habari zinafika kwa wakati...

Nadhani kuna yaliyotokea nyuma yanatisha zaidi...

Hivyo vitengo vipo, ndio yale unashangaa mkuu wa wilaya anaongea kwa jeuri na makamu wa rais na kumjibu atakavyo.
In short ccm imeoza! Wananchi wamelala. Upinzani hawajitambui!
 
Nyie vijana matahira hamjui chochote katika Taifa hili
Janet alikerwa sana na tabia za Mzee mpaka kufikia kutengana mara kadhaa.
Hivi unadhani kuna ushenzi katika ndoa zaidi ya mume kutembea na mdogo wako tumbo moja?
Huyo tahira alifikia mpaka kuzaa na mdogo wa mke wake watoto 2 kwa awamu tofauti.
 
Back
Top Bottom