Pole sana mtani, ila iga busara za Uamsho walipoachiwa huru

Kama alivyokuwa anafanya jiwe
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Kama siasa za kina jiwe, bashiru na polepole
Sent from my SM-J400F using JamiiForums mobile app
 
Nguvu ya uma si tu watu kuandamana mitaani, serikali ilipata shinikizo kubwa zaidi ya maandamano ya machinga ambayo yangezimwa kwa virungu na washa washa.
 
Dah Chacha Wangwe kadhulumiwa uhai wake kama masihara. Kitendo cha kujaribu kum beep bwana mkubwa kimeyagharimu maisha yake na familia yake. RIP Chacha Wangwe Mungu ataendelea kuwanyima amani wote waliohusika na dhulma ya maisha yako.

Inakuwaje serikali na polisi wake wanaendelea kucheka na muuaji wa Wangwe? Nao wameamua kumuachia Mungu?
 
Bosi Mbowe kesi bado anayo. Yaani ni kama ilivyokuwa kwa Sabaya tu. Sabaya walivyomuachia akasema ataitisha presa conference aseme yote, mhhhh nikajisemea moyoni huyu kaisha. Sasa mshaurini huyu Mwenyekiti wenu wa kikundi cha ngo ajitafakari

Fact ni serikali iliogopa kuendelea kuaibika na kesi iliyoitunga kijinga Rais akaamua kuifutilia mbali na kumuita Mbowe Ikulu “kuweka mambo sawa”. Hiyo kesi ndiyo imeisha. Hakuna mwenye akili anayeweza kuirejea. Ni aibu.

Mbowe ni level nyingine. Kumlinganisha na Sabaya ni kujipa maumivu yasiyo na sababu.
 
Ana haki ya kuongea yote na kuwashukuru wote walionyesha utu kwake ni haki yake. Yule asiye na shukrani kwa walionyesha utu wakati wa shida huyo ni sawa na punda tu. Ni shetani tu anayefurahia shida ya mtu mwingine
Mbona kama umemtukana Mudawote
 
Kwa mawazo haya na akili hizi nakushauri ujiunge ccm mkuu
 
Uamsho baada ya kuachiwa waliitwa ikulu?
 
Bosi Mbowe kesi bado anayo. Yaani ni kama ilivyokuwa kwa Sabaya tu. Sabaya walivyomuachia akasema ataitisha presa conference aseme yote, mhhhh nikajisemea moyoni huyu kaisha. Sasa mshaurini huyu Mwenyekiti wenu wa kikundi cha ngo ajitafakari
Mungu angeumba mtanzania tu duniani hii dunia ingenuka Mavi maana hata akili ya kuchimba choo isingepatikana. Mbowe anyamanze ili aabudu watesi? Watu mnawaonea na bado mnataka wanyamaze. Hata Lisu mlipompiga risasi mkataka anyamaze aabudu watesi wake. Kuna watu muelewe Mungu kawaumba na hawataabudu binadamu kamwe. Wewe uliyezoea kuabudu watu endelea na usitake wengine waabudu watu Kama wewe.
 
Mleta mada Uamsho sio viongozi wa chama cha Siasa kama Mbowe.
Suala la Mbowe kurudi tena jela sio issue maana kwenye moyo wake "nothing to loose"
Usimfundishe uoga kama kwako uoga ndio Kinga yako ya kubaki uraiani na kuishi vyema waachie na wengine waamue namna wanavyotaka kuishi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…