Pole sana Seth, Tulikuonya hukusikia

Pole sana Seth, Tulikuonya hukusikia

Hahahahaaaa! Hii inaitwa ADUI MUOMBE NJAAA. Lakini Le Baharia kijana akikosea akanyea kiganja hukikati, bali unakioshaaaa. Sasa bandugu mngeyamaliza tu kiutu uzimaaaa. Sasa white party Le Baharia ze complimentary fanya basi ze manuvaaaa.

Hii white party ukijipanga unaweza kuifanya nchi nzima kama FIESTA na ukapiga mkwanja, mi nakuaminia ujue Le Baharia, (huku unafikilia hio complimentary) manake hapa Dar ilijaza, ile FMAcademia A town nilifanya kupita kidogo ila ilijaza pia, so kwa mwendo huu hata mikoani itajaza ukifanya tour (Complimentary usisahaau basi).

Tatizo wabongo wanadhani mpaka uajiriwe ndo upige hela, kumbe events zina mshiko kinomaaa.

- Sio kweli dogo hana ubavu wa kuwa adui kama adui ni adui to yeye mwenyewe, well haina nipo matayarishoni kufanya White Party mwisho wa mwezi ujao so stay tuned si unajua huwa ninakusanya Wasanii na bendi nyingi, so stay tuned!!

Le Mutuz
 
- Hakuwa ananitusi alikuwa anajitusi mwenyewe, alikasirika kwa sababu alijua kukosana na mimi kumempotezea a big opportunity ya kucheza the game hapa mjini maana ukishagombana na mimi kila mwenye akili anaku note na kukuangalia kwa makini sana maana mimi mtu wa watu always, now comes this na huyu aliyemfukuza kazi ndiye aliyekuwa akimsifia sana kwenye Instagram yake, so jifunze ukitaka kufanya biashara za kujiajiri hapa mjini hugombani na watu kama mimi utaishia kujiumiza tu na public!!

- Alitaka tutayarishe tamasha pamoja, kabla sijampa his role akakosa subira akakimbilia Instagram kudai nimemuibia akaharibu mwenyewe, watu wote wanaonijua hapa mjini masiki kwa matajiri, viongozi kwa wananchi wanajua kwamba sijawahi kumuibia mtu, sasa leo kuja kumuibia huyu bwana mdogo how could that be true then comes this now what na huyu aliyemfukuza amemuonea?, au na yeye amemuibia?

Le Mutuz
Nakumbuka ulikuwa kwenye masuala hayo ya IG party na mara sikukusikia tena nikawa namsikia zaidi bikira...

Anyway, sasa nami kuna masuala napenda nikushirikishe. Najua wewe ni mtu wa connections, so unahusika. Nami nahitaji sana connections fulani fulani ambazo nawe hopefully zitakubamba, you know...
 
Nakumbuka ulikuwa kwenye masuala hayo ya IG party na mara sikukusikia tena nikawa namsikia zaidi bikira...

Anyway, sasa nami kuna masuala napenda nikushirikishe. Najua wewe ni mtu wa connections, so unahusika. Nami nahitaji sana connections fulani fulani ambazo nawe hopefully zitakubamba, you know...

- Tuliungana na kufanya Instagram Party ya kwanza Mikochen, MWanza, Mbeya, Iringa na Dodoma na Dar tena nikaamua kwenda on my own na All White Party kwa sababu hii ni shughuli ninaifanya all my life toka sijaondoka bongo na mpaka nilipokuwa US, so matamasha ni kipaji huwezi kulazimisha, otheriwse nitafute njoo ofisini kwangu hapa downtown tupange mipango I am always open to new ideas!!

Le Mutuz
 
- Tuliungana na kufanya Instagram Party ya kwanza Mikochen, MWanza, Mbeya, Iringa na Dodoma na Dar tena nikaamua kwenda on my own na All White Party kwa sababu hii ni shughuli ninaifanya all my life toka sijaondoka bongo na mpaka nilipokuwa US, so matamasha ni kipaji huwezi kulazimisha, otheriwse nitafute njoo ofisini kwangu hapa downtown tupange mipango I am always open to new ideas!!

Le Mutuz
Thats cool...! Hamna shaka, nitakutafuta siku hizi za karibuni tu.
 
- Tuliungana na kufanya Instagram Party ya kwanza Mikochen, MWanza, Mbeya, Iringa na Dodoma na Dar tena nikaamua kwenda on my own na All White Party kwa sababu hii ni shughuli ninaifanya all my life toka sijaondoka bongo na mpaka nilipokuwa US, so matamasha ni kipaji huwezi kulazimisha, otheriwse nitafute njoo ofisini kwangu hapa downtown tupange mipango I am always open to new ideas!!

Le Mutuz

yaani wewe huwa sikuelewagi aisee.sasa kukwambia ukweli ndo uniblock insta?ulitaka nikusifie unafki sio?
 
Hahahahaaaa! Hii inaitwa ADUI MUOMBE NJAAA. Lakini Le Baharia kijana akikosea akanyea kiganja hukikati, bali unakioshaaaa. Sasa bandugu mngeyamaliza tu kiutu uzimaaaa. Sasa white party Le Baharia ze complimentary fanya basi ze manuvaaaa.

Hii white party ukijipanga unaweza kuifanya nchi nzima kama FIESTA na ukapiga mkwanja, mi nakuaminia ujue Le Baharia, (huku unafikilia hio complimentary) manake hapa Dar ilijaza, ile FMAcademia A town nilifanya kupita kidogo ila ilijaza pia, so kwa mwendo huu hata mikoani itajaza ukifanya tour (Complimentary usisahaau basi).

Tatizo wabongo wanadhani mpaka uajiriwe ndo upige hela, kumbe events zina mshiko kinomaaa.

binti unajua kujipendekeza........hongera
 
still tunampenda bikira wa kisukuma amefanya mengi kafungua akili mgando za watu jaman ebu mumuache seth jaman khaaaa
 
"It is a very unfortunate moment for
all that We had to take such a hard
decision to announce the termination
of our employee Mr. Seth Katende
(Bikira wa kisukuma) from the
position of head of Marketing
department."

Umhhhhh ..bikira wa wapi ??
 
I know... wengi wao ndo hivyo tena, wengi wao ni chakula pendwa cha mafirauni! Lakini anyway, ana haki ya kujichagulia jina limfaalo kwa tafsiri yoyote! Tatizo ni sie wenye asili ya ufukweni yaani tupo very sensitive!!
Tena mpwanipwani miye hilo jina nikiliona inanikumbusha ileisiyoguswa ya mwari!mbona anatuita huyu?
 
- Hakuwa ananitusi alikuwa anajitusi mwenyewe, alikasirika kwa sababu alijua kukosana na mimi kumempotezea a big opportunity ya kucheza the game hapa mjini maana ukishagombana na mimi kila mwenye akili anaku note na kukuangalia kwa makini sana maana mimi mtu wa watu always, now comes this na huyu aliyemfukuza kazi ndiye aliyekuwa akimsifia sana kwenye Instagram yake, so jifunze ukitaka kufanya biashara za kujiajiri hapa mjini hugombani na watu kama mimi utaishia kujiumiza tu na public!!

- Alitaka tutayarishe tamasha pamoja, kabla sijampa his role akakosa subira akakimbilia Instagram kudai nimemuibia akaharibu mwenyewe, watu wote wanaonijua hapa mjini masiki kwa matajiri, viongozi kwa wananchi wanajua kwamba sijawahi kumuibia mtu, sasa leo kuja kumuibia huyu bwana mdogo how could that be true then comes this now what na huyu aliyemfukuza amemuonea?, au na yeye amemuibia?

Le Mutuz
Kwenye red ndio Sasa nimepata jawabu kwa nini watu wanakushambulia bila sababu za msingi na wewe huwa unawachukulia poa with big smile wraped in kicheko! big up and keep it up ! mambo na watu ukikera watu...!
 
Back
Top Bottom