Pole Zuchu mafanikio huambatana na chuki

Pole Zuchu mafanikio huambatana na chuki

Acha kudhania
Wewe kama ni ndugu yake, basi mpe mawaidha, aachane na hayo manyimbo yatamuingiza Jahannam, unavyozidi kuunga mkono hayo madhambi ayafanyayo basi utabeba dhimma kubwa, Allah akitujaalia Ramadhan itakua jumatatu, je! Mmejiandaaje na mfungo wa Ramadhan!

يَا أَيُّهَا الَّذِينَ آمَنُوا اجْتَنِبُوا كَثِيرًا مِّنَ الظَّنِّ إِنَّ بَعْضَ الظَّنِّ إِثْمٌ ۖ وَلَا تَجَسَّسُوا وَلَا يَغْتَب بَّعْضُكُم بَعْضًا ۚ أَيُحِبُّ أَحَدُكُمْ أَن يَأْكُلَ لَحْمَ أَخِيهِ مَيْتًا فَكَرِهْتُمُوهُ ۚ وَاتَّقُوا اللَّـهَ ۚ إِنَّ اللَّـهَ تَوَّابٌ رَّحِيمٌ﴿١٢﴾

Enyi walioamini! Jieupusheni sana na dhana kwani hakika baadhi ya dhana ni dhambi. Na wala msifanyiane ujasusi, na wala wasisengenyane baadhi yenu wengineo. Je, anapenda mmoja wenu kwamba ale nyama ya nduguye aliyekufa? Basi mmelichukia hilo! Na mcheni Allaah! Hakika Allaah ni Mwingi wa kupokea tawbah, Mwenye kurehemu. [Al-Hujuraat (59: 12)]
Hongera yako wewe utaeenda peponi
 
Hongera yako wewe utaeenda peponi

Sema "al hamdu liLlah nimepata mtu wa kunipa nasaha, hakika ndugu yangu Zuhra Masoud pia nitampa mawaidha"

Ayat 32 from Surah Al-Anam
﴿وَمَا الْحَيَاةُ الدُّنْيَا إِلَّا لَعِبٌ وَلَهْوٌ ۖ وَلَلدَّارُ الْآخِرَةُ خَيْرٌ لِّلَّذِينَ يَتَّقُونَ ۗ أَفَلَا تَعْقِلُونَ﴾
[ الأنعام: 32]

Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa wanao mcha Mungu. Basi, je, hamtii akilini?​


Swahili Translation - Al-Barwani​

English - Sahih International​

And the worldly life is not but amusement and diversion; but the home of the Hereafter is best for those who fear Allah, so will you not reason?

Tafsiri ya maana yake kwenye lugha ya Kiswahili​

Na maisha ya dunia si chochte ila ni mchezo na pumbao tu. Na hakika nyumba ya Akhera ni bora zaidi kwa wanao mcha Mungu. Basi, je, hamtii akilini?

Na huo uhai wa duniani walio uona makafiri kuwa ndio uhai wa pekee, na ambao hawaukusudii kwa kufanya vitendo vya kumridhi Mwenyezi Mungu, uhai huo si chochote ila ni mchezo usio kuwa na manufaa, na pumbao la kujipumbazia tu!! Na hakika nyumba ya Akhera ndio khasa uhai wa kweli. Huo unawanufaisha zaidi wale wanao mwogopa Mwenyezi Mungu na wanazifuata amri zake. Basi hamtii akilini jambo hili lilio wazi? Hivyo hamfahamu linalo kudhuruni na linalo kufaeni?
 
Mafanikio gani? Kuimba na kutojistiri ndio mafanikio hayo! Mnazidi kumpoteza tu
mafanikio kwenye career yake, wewe uliyejistiri umegundua nin hapa dunian?
Acha afanye kazi hiyo ndio kazi yake, kwani twanga pepeta wale wanawake waliokuwa wanaaacha vitovu wazi walikuwa wanajisitiri?
Kaa hivo hivo, Zuchu ni msanii mkubwa afrika na duniani, zanzibar hakuna soko kule, anaendaga sababu ni nyumban tu ila hakuna athari yoyote, wale wazee wa kule wengi wanawaza ngono tu, mtu kasema hata mumpe mku nyinyi mshaleta tafsiri zenu za kijinga
Mtakufa maskin binti zuhura anapiga kazi.
 
mafanikio kwenye career yake, wewe uliyejistiri umegundua nin hapa dunian?
Acha afanye kazi hiyo ndio kazi yake, kwani twanga pepeta wale wanawake waliokuwa wanaaacha vitovu wazi walikuwa wanajisitiri?
Kaa hivo hivo, Zuchu ni msanii mkubwa afrika na duniani, zanzibar hakuna soko kule, anaendaga sababu ni nyumban tu ila hakuna athari yoyote, wale wazee wa kule wengi wanawaza ngono tu, mtu kasema hata mumpe mku nyinyi mshaleta tafsiri zenu za kijinga
Mtakufa maskin binti zuhura anapiga kazi.

Kama wewe ni Muislamu utaelewa madhara yake, lakini kama wewe ni upande wa pili huwezi nielewa.
 
Kama wewe ni Muislamu utaelewa madhara yake, lakini kama wewe ni upande wa pili huwezi nielewa.
mimi ni muislamu ninayejielewa nikiambiwa kitu ninakifikiria kuliko kupokea tu.
Ulitaka tukaimbe kaswida wote? Wacha ujinga Zuchu kipaji chake kinasaidia watu wengi. Wanaishi kupitia kipaji chake, Hicho ni kipaji kampatia mwenyezi mungu.
Huwez kumuelewa Zuchu
 
Kwani miaka ile Ray C yupo Juu kimuziki uliwahi kusikia akifungiwa Kwa kuimba matusi?

Hawa mabinti na Vijana wa kisasa wajifunze Kwa Wenzao wa miaka ya 2000 kuja 2010, mbona wenzao waliweza kuimba na kujizolea umaarufu pasipo kuimba matusi?

Mmewahi kumsikia Lady Jaydee akiimba matusi?

Ana miaka zaidi ya 25 kwenye Muziki lakini hajawahi kuimba hayo matusi.
Hawajifunzi kwakuwa Wazazi wao ndio waimba taarab za Chama.
Hawajifunzi kwakuwa ndio washehereshaji wa shughuli za chama.
Hawajifunzi kwakuwa wamoa kwenye chama , wamezaa na wanachama.
Hawajifunzi kwakuwa wamezaa na baadhi ya watu kwenye chama.
 
Hawajifunzi kwakuwa Wazazi wao ndio waimba taarab za Chama.
Hawajifunzi kwakuwa ndio washehereshaji wa sgughuli za chama.
Hawajifunzi kwakuwa wamoa kwenye chama .
Hawajifunzi kwakuwa wamezaa na baadhi ya watuk kwenye chama.
Hahaha.................hakuna wa kumtoa kibanzi machoni😜
 
mimi ni muislamu ninayejielewa nikiambiwa kitu ninakifikiria kuliko kupokea tu.
Ulitaka tukaimbe kaswida wote? Wacha ujinga Zuchu kipaji chake kinasaidia watu wengi. Wanaishi kupitia kipaji chake, Hicho ni kipaji kampatia mwenyezi mungu.
Huwez kumuelewa Zuchu
Na tukiacha chuki ZUCHU ndo msanii Bora wa kike wa kizazi hiki Hapa Afrika mashariki
 


 
Tuungane pamoja wenza wa mawaziri na wabunge wapate mafao, hawa wana jukumu kubwa sana la kuwalea viongozi wetu.
Hao imeshapitishwa, hivyo imebaki utekelezaji tu kuanzia Mwezi Kikao, 2024
 
mimi ni muislamu ninayejielewa nikiambiwa kitu ninakifikiria kuliko kupokea tu.
Ulitaka tukaimbe kaswida wote? Wacha ujinga Zuchu kipaji chake kinasaidia watu wengi. Wanaishi kupitia kipaji chake, Hicho ni kipaji kampatia mwenyezi mungu.
Huwez kumuelewa Zuchu

Sasa, Unadai wewe ni Muislamu unaejielewa halafu hapo hapo unasapoti maovu, Allah ameharamisha miziki.
 
Walsham wa Pwani ya Afrika Mashariki ni wanaafiki sana. Msibishe, tunaishi na nyinyi tunawafahamu vizuri. Uislam wenu upo kwenye kuwahukumu watu wengine tu lakini amuonekani misikitini.
 
Back
Top Bottom