Zanzibar-ASP
JF-Expert Member
- Nov 28, 2013
- 11,550
- 40,697
Lipeni zaidi 9.5B mnayodaiwa na SAASijui, ila ninachojua kuna snitches ambao wanapigana usiku na mchana kutushika mashati tusiende mbele, wengine wameshalaaniwa na Mungu wanaishi kwa maumivu maisha yao yote na bado.
Lkn usijali tutalipa na baby wetu atandelea na Safari, sisi ni strong alpha male na siyo crying bitches!
Lipeni madeni achani ufala....,Yaani CYRIL RAMAPHOSA pamoja na ukarimu ambao mshkaji wake kamuonesha haya ndio anatufanyia kweli? kweli? why? whhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhy.?? inauma sana.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Yaani CYRIL RAMAPHOSA pamoja na ukarimu ambao mshkaji wake kamuonesha haya ndio anatufanyia kweli? kweli? why? whhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhy.?? inauma sana.[emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24][emoji24]
Poa mkuu sisi tutalipa, hela za kulipa tunazo tena za kutoka ndani ila narudia tena Cyril whyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyyy?Lipeni madeni achani ufala....,
Biashara haina undugu na SA ni nchi inayoendeshwa kikatiba. Mr Rama hana power ya kuamuru ndege iondoke kisa Jiwe mshkajiYaani CYRIL RAMAPHOSA pamoja na ukarimu ambao mshkaji wake kamuonesha haya ndio anatufanyia kweli? kweli? why? whhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhy.?? inauma sana.ππππππππππππππππ
Lipeni zaidi 9.5B mnayodaiwa na SAA
Watanzania wote ni wenyeviti wa SADC?Wewe sio mtanzania?
Acha kuzua imeandikwa wapi tunadaiwa ela hizoLipeni zaidi 9.5B mnayodaiwa na SAA
HAhaha "RAMASOFA" hausiki kwakuwa ANKALI ni mtaalamu wa "KUTREPU" simu ashajua nani aliyewaambia SAA kwamba ndege yetu ipo OLIVA TAMBO wakaikamate.Yaani CYRIL RAMAPHOSA pamoja na ukarimu ambao mshkaji wake kamuonesha haya ndio anatufanyia kweli? kweli? why? whhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhhy.?? inauma sana.ππππππππππππππππ
Naipenda sana Tanzania ila hawa watawala wanazingua sana. Wanafanya vitu kwa ujinga hadi inafikia wakifeli tunafurahia. Wanatuona sisi kama sio watu. Wangekuwa na uwezo wangetuua wote ili wabaki wao wafanye watakaloAsante sana, Tanzania kuna ma-snitches ambao wanapigana kusabotage nchi yetu, sleeping with the enemy basically.
Naipenda sana Tanzania ila hawa watawala wanazingua sana. Wanafanya vitu kwa ujinga hadi inafikia wakifeli tunafurahia. Wanatuona sisi kama sio watu. Wangekuwa na uwezo wangetuua wote ili wabaki wao wafanye watakalo
Kwa kukufahamisha tu. Tuliowakomboa ni walalahoi wenzetu. Tuliopigana nao (makaburu) ndio wanaomiliki SAA. Hii ni kulipiza kisasi ingawa akina Salary Slip Quinine Return Of Undertaker Zitto na TL meno yote nje. Inshallah litapita salama tuNimeskia ya kwamba ndege yenu iliyokuwa imeenda SA imekamatwa. Naona hawa watu ambao nyie hudai kuwa mliwakomboa hawana shukrani. Poleni sana kwa hili
Akina Erythrocyte mungu amewapendelea this time, ila tuombe yaishe salamaπππ Nyumbu sasa walivyofurahi, utafikiri simba, mamba na chui wote mbugani wamepata ubogoyo