Poleni Jirani Zetu Kwa Hili La Ndege Lenu Kushikiliwa SA

Poleni Jirani Zetu Kwa Hili La Ndege Lenu Kushikiliwa SA

Nimeskia ya kwamba ndege yenu iliyokuwa imeenda SA imekamatwa. Naona hawa watu ambao nyie hudai kuwa mliwakomboa hawana shukrani. Poleni sana kwa hili
Goma litarud na tutakuja Kenya kuoa cc tunapga pumdu tyu
 
Hatari sana [emoji23][emoji23][emoji23] naona wamejiunga na ufipa kufurahia.
7600915c6046eb452892ff9386f63913.jpg


Mwendo wa kizalendo... Pesa ipo 😂😂😂
 
Kuwa na jirani kama Kenya inaitaji moyo wa chuma hivi kwa nini tusiichukue Kenya kwa mabavu liwe koloni letu
 
Kwa kukufahamisha tu. Tuliowakomboa ni walalahoi wenzetu. Tuliopigana nao (makaburu) ndio wanaomiliki SAA. Hii ni kulipiza kisasi ingawa akina Salary Slip Quinine Return Of Undertaker Zitto na TL meno yote nje. Inshallah litapita salama tu
Kaka hawa unawatuhumu bure. Kosa sisi huku kauli boss ndiyo sheria. Nakumbuka huko nyuma amepiga marufuku, wanaoidai serikali kutoshikilia mali za serikali !!. Sasa nchi za watu ni rule of law. Mihimili haiingiliani kama kwetu.

Na hizi safari za nje , tukae macho . Huenda zikaendelea kushikiliwa
 
MwendaOmo nyuzi kama hizi muwe mnatutag, jamaa walikesha humu wakitutambia vile Afrika Kusini huwasifia kwa wao kuikomboa, nikawaambia hayo ni ya kale na leo hii ubora wa uchumi ndio lugha inayofahamika, hamna pumba za undugu wala nini.
Wanapenda sana kujikomba komba kwa Afrika Kusini licha ya kuonyeshwa dharau kila uchao.
Kule Afrika Kusini ni mabepari wachapa kazi, hawana muda na ujinga wa kuitana ndugu, vijana wao wanahitaji ajira, na huwa hawakawii kufanya vituko pale wanahisi uongozi unawachelewesha,
Ukiangalia leo hii Tanzania hata haipo ndani ya mataifa kumi na tano bora yanayofanya biashara na Afrika Kusini, hivyo hawana faida yoyote kwa Wasouth, labda tu kwenye migodini ndio hao Wasouth huja kukwapua na kugeuza.
Sasa ndege yote imekamatwa mazima mazima, Tanzania ndio nchi pekee duna yote ambayo ndege yake hukamatwa kamatwa kwa ajili ya kutolipa madeni ya watu.
Lakini hata hivyo kwa hili nimejikuta nawahurumia sana, jmeni majirani zetu pambaneni tu mtatoka aisei poleni.
 
Kaka hawa unawatuhumu bure. Kosa sisi huku kauli boss ndiyo sheria. Nakumbuka huko nyuma amepiga marufuku, wanaoidai serikali kutoshikilia mali za serikali !!. Sasa nchi za watu ni rule of law. Mihimili haiingiliani kama kwetu.

Na hizi safari za nje , tukae macho . Huenda zikaendelea kushikiliwa
Nawe ni galegale! Kwa yeyote anayeshabikia unyama huu ni mhaini
 
MwendaOmo nyuzi kama hizi muwe mnatutag, jamaa walikesha humu wakitutambia vile Afrika Kusini huwasifia kwa wao kuikomboa, nikawaambia hayo ni ya kale na leo hii ubora wa uchumi ndio lugha inayofahamika, hamna pumba za undugu wala nini.
Hahaaa.😀😀😀 kama nakuona vile unavyoshangilia ndege zetu kukamatwa... hata hivyo, dawa ya deni ni kulipa tu, hakuna namna...
 
Hahaaa.😀😀😀 kama nakuona vile unavyoshangilia ndege zetu kukamatwa... hata hivyo, dawa ya deni ni kulipa tu, hakuna namna...

Kwa kweli sishangilii, hili limenihuzunisha kiaina, maana rais wenu anapambana sana kujaribu kuiweka Tanzania kwenye ramani ya mataifa yanayoskika bara hili, tatizo aidha hashauriki au wanaompa ushauri ndio wabovu, maana ni mwendo wa full mikurupuko bila mikakati.

Halafu Maccm wa mitandaoni kutwa kutukana wenzao, hadi jambo kama hili likitendeka utakuta idadi kubwa ya Watanzania watashangilia na kusherekea maana wametukanwa hadi uzalendo umewapungukia.
Nenda jukwaa la siasa uone Watanzania wenzako huko wanachekelea na kufurahi.
 
Kwa kweli sishangilii, hili limenihuzunisha kiaina, maana rais wenu anapambana sana kujaribu kuiweka Tanzania kwenye ramani ya mataifa yanayoskika bara hili, tatizo aidha hashauriki au wanaompa ushauri ndio wabovu, maana ni mwendo wa full mikurupuko bila mikakati.

Halafu Maccm wa mitandaoni kutwa kutukana wenzao, hadi jambo kama hili likitendeka utakuta idadi kubwa ya Watanzania watashangilia na kusherekea maana wametukanwa hadi uzalendo umewapungukia.
Nenda jukwaa la siasa uone Watanzania wenzako huko wanachekelea na kufurahi.
Nimeona, ndiyo maana nasema hakuna namna tulipe tu...
 
This is a very simple case, A court cannot issue Such orders Ex- partie. Both sides must be heard. If its SAA that went to court then it means they are feeling the ATCL heat😂😂
These are just normal business rivalary Tactics.
ITS NOT A SUPRISE, NO ONE IN G.O.T IS SUFFERING A HEART ATTACK, COMPETITION AND DIRTY TRICKS HAVE BEEN PLANNED FOR BY ATCL IN THEIR BUSINESS PLAN THAT IS WHY S.A WAS THE FIRST INTERNATIONAL DESTINATION FOR ATCL
 
This is a very simple case, A court cannot issue Such orders Ex- partie. Both sides must be heard. If its SAA that went to court then it means they are feeling the ATCL heat[emoji23][emoji23]
These are just normal business rivalary Tactics.
ITS NOT A SUPRISE, NO ONE IN G.O.T IS SUFFERING A HEART ATTACK, COMPETITION AND DIRTY TRICKS HAVE BEEN PLANNED FOR BY ATCL IN THEIR BUSINESS PLAN THAT IS WHY S.A WAS THE FIRST INTERNATIONAL DESTINATION FOR ATCL
But the court has already issued the order. Or what did you mean [emoji23][emoji23]
 
Back
Top Bottom