Poleni mashabiki wa Diamond pamoja na team yake

juvenile davis

JF-Expert Member
Joined
Apr 13, 2015
Posts
4,752
Reaction score
4,467
Ile show kabambe ambayo huwakutanisha wasanii kibao pale stejini (FIESTA) inafanyika muda si mrefu hapa Tz lakini katika hali ya kuudhi na kuhuzunisha ni kwamba msanii Diamond hatokwepo kabisa. Sababu ni kwamba Diamond ni balozi wa Vodacom, sasa akiwa kama balozi wa Voda ni hawezi kwenda kwenye show iliyoandaliwa na Tigo.

Pole sana mtu wa Diamond maaana hapo ni kwamba Kiba atajiachia sana, pale ambapo Kiba atakuwa anajiachia na kushangiliwa basi team Mond watanuna na kuvimba. Poleni sana, watu tusio na team ni full kuenjoy maana tunaangalia muziki mzuri na sio msanii[emoji2]
 
Hao wameneja sijui kina nani hao wa diamond ni wapuuzi na diamond mwenyewe utakubalije kufunga mkataba wa kipuuzi namna hiyo ime kuwa ndoa ya kikristo et mtaandamana hadi kifo kitakapo watenganisha wajifunze siku nyingine.
Au tamaa ya pesa nyingi?
 
Wewe nawe?
 
Huo ndo uzuri wakutokuwa na team,pia ubaya wakuwa na team ndo huo.
 
Ana machungu ya kukosa tuzo bado,

Hayo mengine ni visingizio tu.
 
Hao wameneja sijui kina nani hao wa diamond ni wapuuzi na diamond mwenyewe utakubalije kufunga mkataba wa kipuuzi namna hiyo ime kuwa ndoa ya kikristo et mtaandamana hadi kifo kitakapo watenganisha wajifunze siku nyingine.
Au tamaa ya pesa nyingi?
Kitu pesa bwana, hiyo fiestha wanamuziki wanalipwa nini cha mno, uwache kuingia mikataba ya kibiashara kuogopa kuikosa. Hii inafanana sana ile ya baadhi ya wachezaji wetu, kuwa tayari kuvunja mikataba yao waliingia na timu za nje, ili waje wacheze Simba na Yanga. Diamond piga pesa Baba usibabaishwe na vitu vidogo vidogo.
 
Paka aikiondoka...................
Basi ndo yeye
 
Kuwa balozi wa vodacom hiyo sio sababu jamaa Kuto kusajiliwa fiesta clouds watakuwa wameshindwa mpunga wa kumlipa jamaa kuna kipindi mashabiki wa daimond walileta documenty hapa chini ya milion 100 jamaa hafanyi show

-Nyerere-
We sijui wa wapi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…