Diamond anaweza kupaform fiesta kama wakifika dau
Vodacom haimzuii ila malipo kiduchu ndo yanayomfanya aendelee na show nyingi za nje zinazolipa
Jiulize mond kafanya show ngapi za bongo mwaka huu ?
Kwanini amefanya show nyingi zaidi ya asilimia 90 ya show za mwaka huu ni za nje ?
Je show za ndani hapati ? , na kama unahisi hapati mbona hata wasanii chipukizi tu wa WCB walionza game mwaka huu akina rayvanny wanapiga show nyingi sana TZ
TATIZO MPUNGA ....
tekno, yemi watalipwa vizuri ila wandani mtalipwa kishkaji