Kwahiyo SM hawahitaji akili kubwa sio?We mnafiki si umepita bila kupingwa kwenye uenyekiti wa SM , hoja yako ni ipi tena ? kutoka udaktari hadi kwenye uongozi wa kijiji ! hili ni anguko kubwa sana .
Aliyewapandikiza huko ni nani?Meningitis umeisha nunuliwa kamanda??
Sio wewe au umeondoka na Boss wako Sumaye ili ukaunge mkono!!
Ndio maana tunawastukia, njaa mbaya saana.
M4 C inasonga mbele ikiongozwa na kamanda Mbowe.
Mchujo unaendelea mtaisha wote mapandikizi wa Lumumba!!
Ingependeza kama ungechambua propaganda na ukweli uliouona kwenye hayo maoni yake.1000 digits,
Sina shaka sana na maoni yako, lakini unaonekana unajenga hoja kwa mambo ya ukweli unachanganya na propaganda. Ni sawa na kupika wali mzuri, mtamu na unaonukia sana, lakini una mawe. Sina hakika wali wa hivyo kama utalika pamoja na kwamba ni mtamu. Jaribu kutenga propaganda na ukweli tujue unasimamia kipi, kinyume na hapo itakuwa ni chuki binafsi, hata kama kuna ukweli fulani humo ndani ya maelezo yako.
Kwahiyo Azory ni mwanachadema aliyeuawa na jiwe? Je saa nane nae kauawa na jiwe? Huyo jiwe ni nani hasa?
Wewe endelea kulamba viatu vya kina Mbowe.
Sasa unaidhihirishia Dunia kuwa vilio Vya wapinzani kuuawa,kutekwa nk ni Vya kweli?Great thinkers!
Hii ni thread kwa ajili ya wana CHADEMA asili waliomwaga damu na kuipigania.
Naamini mmeshagundua utapeli katika Chama hiki chini ya Mwenyekiti wake.
Hoja yangu ni kuonesha ubovu wa Mwenyekiti toka 2011
Rubbish.......
Tambua mkuu Meningitis, waliomwaga damu katika Chadema, wamefanya hivyo kutokana na udikteta wa Mwenyekiti wako Jiwe......
Kuna aliyemwaga damu zaidi ya Jiwe katika nchi hii??
Wameuwawa na CCM kukitetea ChademaGreat thinkers!
Hii ni thread kwa ajili ya wana CHADEMA asili waliomwaga damu na kuipigania.
Naamini mmeshagundua utapeli katika Chama hiki chini ya Mwenyekiti wake.
Kuna kipindi nilimwona huyu jamaa Mtwara,We mnafiki si umepita bila kupingwa kwenye uenyekiti wa SM , hoja yako ni ipi tena ? kutoka udaktari hadi kwenye uongozi wa kijiji ! hili ni anguko kubwa sana .
CorrectRubbish.......
Tambua mkuu Meningitis, waliomwaga damu katika Chadema, wamefanya hivyo kutokana na udikteta wa Mwenyekiti wako Jiwe......
Kuna aliyemwaga damu zaidi ya Jiwe katika nchi hii??
Wana-Chadema wote njaa tu maana akivua gwanda mmoja wao utasikia oooh.... kanunuliwa, huyo huyo anayesema fulani kanunuliwa ndo huyo naye baada ya miezi miwili analivua gwanda na kurudi home kulikonogaHana lolote , namjua kuliko unavyodhani , njaa mpaka machoni
We mnafiki si umepita bila kupingwa kwenye uenyekiti wa SM , hoja yako ni ipi tena ? kutoka udaktari hadi kwenye uongozi wa kijiji ! hili ni anguko kubwa sana .
Mbona m/kiti wa UDP humsemiHoja yangu ni kuonesha ubovu wa Mwenyekiti toka 2011