Mtumishi Wetu,
'Ni muda tu utasema KWELI'..... Prof. Lipumba alisema ACT ni Hoiii! ila sasa nadhani anayajutia ama atayajutia maneno hayo.
Binafsi sipendi sana hawa viongozi wetu kutuhujumu namna hii.... Nakumbuka sana Zitto, Dr. Slaa kuondoka chamani kulivyoumiza hisia za wengi wapenda Demokrasia.
'Ni muda tu utasema KWELI'..... Prof. Lipumba alisema ACT ni Hoiii! ila sasa nadhani anayajutia ama atayajutia maneno hayo.
Binafsi sipendi sana hawa viongozi wetu kutuhujumu namna hii.... Nakumbuka sana Zitto, Dr. Slaa kuondoka chamani kulivyoumiza hisia za wengi wapenda Demokrasia.