Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwamba matetemeko ya ardhi Africa hayaleti madhara sababu ya watu weusi hawaonekani au maana sikuelewiYanayofanana na Marekani, Japan n.k?
Kasongo ya madawa hata Bongo ipo.Shida hao mahustler wanataka mafanikio ya chapchap so wanaenda huko wakiamini watafanikiwa kumbe tamaa mbele mauti nyuma. Anaweza asipigwe na baridi ila akaingia kwenye madawa ya kulevya.
Afrika kwa ujumla hakuna majanga makubwa ya asili kama hukoKwamba ya Africa hayaleti madhara au maana sikuelewi
Jibu swali wa Africa hawafi na hayo majangaAfrika kwa ujumla hakuna majanga makubwa ya asili kama huko
Marekani, Ulaya na Asia na kama yangekuwepo tungekwisha.
Tuko Bongo na mitaa inatuchapa kama tuko vitani huko Syria. 😁Mbona haya mateso ni kawaida hata hapa nyumbani yapo wewe utakua sio hasola au umekuzwa na singo maza full kudekezwa tu.
Mimi huko labda kutembea tuu mimi napenda kuishi Afrika ili nileInaelekea mtoa taarifa,kuna jamaa alimtosa kwenda mbele.
Huna uwezo wa kutembea nchi kama hizoMimi huko labda kutembea tuu mimi napenda kuishi Afrika ili nile
Organic food, fresh air na kuishi utamaduni wangu.
Hatari sana, au gang za uporaji na wadada kwenye kuuza miili yao.Shida hao mahustler wanataka mafanikio ya chapchap so wanaenda huko wakiamini watafanikiwa kumbe tamaa mbele mauti nyuma. Anaweza asipigwe na baridi ila akaingia kwenye madawa ya kulevya.
Mpaka uone kwenye TV kama ulivyoona hao wa US? Kwa namna hiyo unasubiri sana. Huku nilipo hobos/homeless wapo kibao lakini wengine wanalala kwenye magari yao, wengine mitaani huku wakijihudumia kwenye public washrooms ila ukitoa mateja kikawaida kuwa homeless ni upumbavu wa kujitakiaUliona wapi mtoto wa mitaani kafa kwa njaa?
Wapi huko mkuuMpaka uone kwenye TV kama ulivyoona hao wa US? Kwa namna hiyo unasubiri sana. Huku nilipo hobos/homeless wapo kibao lakini wengine wanalala kwenye magari yao, wengine mitaani huku wakijihudumia kwenye public washrooms ila ukitoa mateja kikawaida kuwa homeless ni upumbavu wa kujitakia
Stend ya wapi wanaokotwa ?Matatizo yanayoikabili afrika ni makubwa mno kuliko hiyo baridi ya USA tatizo ni kwamba tumeyazoea hayo matatizo
Ukienda maeneo ya stand kuu kama mbezi nyegezi n.k Kila siku wanaokota maiti za homeless ila ni vile sio big deal ndio maana tunaona USA wanateseka wakati in real sense wanamaisha mazuri sana
Hata kama Dar wapo hawajapata tatizo la kuondoa uhai kama huko Marekani ndiowewe ni MNAFIKI tu, mbona hapa TZ homeless wamejaa sana haswa DAR. we unawahurumia hao wa Amerika?
Matetemeko ya huku unayalinganisha na ya kule Japan au Uturuki? Bro ya huku hayaathiri sana.Wewe upo duniani kweli unaulizia tetemeko la ardhi Africa
Mkuu homeless wa huku ni wakujitakia mtu anatoka zake kijijini anakuja dar kichwakichwa hana ili wala lile na homeless wa huku magonjwa ndo yanawamaliza sio kama wa Marekani ambao wanagandishwa na baridi kali.Matatizo yanayoikabili afrika ni makubwa mno kuliko hiyo baridi ya USA tatizo ni kwamba tumeyazoea hayo matatizo
Ukienda maeneo ya stand kuu kama mbezi nyegezi n.k Kila siku wanaokota maiti za homeless ila ni vile sio big deal ndio maana tunaona USA wanateseka wakati in real sense wanamaisha mazuri sana