Poleni sana Wabongo ambao ni homeless huko Marekani kwa sababu baridi huko kwa sasa sio ya mchezo.

Poleni sana Wabongo ambao ni homeless huko Marekani kwa sababu baridi huko kwa sasa sio ya mchezo.

Mkuu lini ulisikia kuna tetemeko la ardhi Afrika? au Tsunami au winter storm kama Marekani?
Kuhusiana na njaa na milipuko ya magonjwa hizo siyo natural calamities ni matatizo yanayosababishwa na binadamu na yanaweza kuepukika.
Huyo ni mwehu sijui hata kama natural calamities anazijua et Njaa. Kwa style hii Mbowe atafia kwenye kiti kama mwenyekiti . Ndugu Melo aweke utaratibu wa kufanya assessment ya IQ au special matriculation kind of stuff humu tutajaza wakina Ntobi.
 
🤣 🤣 🤣

You have no idea what you're talking about. Endelea kujipa moyo. Naacha kubishana na mjinga.
The truth is an Indivisible boss. Pole sana kama wewe maisha yako huko

ni mazuri usifanye generalization.
 
Shida hao mahustler wanataka mafanikio ya chapchap so wanaenda huko wakiamini watafanikiwa kumbe tamaa mbele mauti nyuma. Anaweza asipigwe na baridi ila akaingia kwenye madawa ya kulevya.
Sisi wazee miaka ya 80 tulikuwa tunao stowaway
Wengi tuliosoma nao ambao hawakuipenda shule ndo waliondoka kwa wingi wamerudi bongo chokambaya wamekuta tumewapiga gap la kutosha

Ila siku hizi madogo waliokimbia shule wengi ni madalali wa magari na viwanja ndo wanajiita hustler wakipiga bingo wanakuja mitandaoni kuwatukana walioenda shule,

Utashangaa kumsikial mtu kama doto magari anawatukana wasomi
 
Sisi wazee miaka ya 80 tulikuwa tunao stowaway
Wengi tuliosoma nao ambao hawakuipenda shule ndo waliondoka kwa wingi wamerudi bongo chokambaya wamekuta tumewapiga gap la kutosha

Ila siku hizi madogo waliokimbia shule wengi ni madalali wa magari na viwanja ndo wanajiita hustler wakipiga bingo wanakuja mitandaoni kuwatukana walioenda shule,

Utashangaa kumsikial mtu kama doto magari anawatukana wasomi
Mpaka sasa wengine huko ni choka mbaya wanaogopa kurudi

bongo.
 
The truth is an Indivisible boss. Pole sana kama wewe maisha yako huko

ni mazuri usifanye generalization.

Nani anafanya generalization mimi au wewe? Kwamba homeless ni immigrants 🤣 🤣

Umewahi kusikia immigrant hata mmoja tu kawa homeless US au karudi umatumbini kula vumbi kisa maisha magumu?

Nenda ubalozini kaone wamatumbi wangapi wanataka waende kiwanja wakawe homeless afu linganisha na wanaorudi kila siku kisa ugumu wa maisha afu nipe jibu.
 
Ni vizuri kuwa diaspora ila kama huna kazi inayoeleweka huko au umeenda kinyemela na kupelekea kuishi kwa kubahatisha kiasi cha Cha kukosa makazi (homeless) hiyo ni hatari sana.

Katika kipindi hiki cha hali mbaya ya hewa huko hasa baridi kali kiasi kwamba baadhi ya majimbo yametangaza hali ya hatari kama huna sehemu salama ya kujisitiri ni hatari kwa afya na uhai.

Juzi nimesoma kwenye habari miili ya wanaume wawili homeless huko Houston jimbo la Texss imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.

So ni bora kama huna uhakika na uendako fanya mapambano ya maisha hapa hapa nchini au nchi nyingine ambazo una uhakika wa kupata huduma za msingi za kibinadamu.
Hiyo nauli ya kwenda huko walitoa wap?
 
Ni vizuri kuwa diaspora ila kama huna kazi inayoeleweka huko au umeenda kinyemela na kupelekea kuishi kwa kubahatisha kiasi cha Cha kukosa makazi (homeless) hiyo ni hatari sana.

Katika kipindi hiki cha hali mbaya ya hewa huko hasa baridi kali kiasi kwamba baadhi ya majimbo yametangaza hali ya hatari kama huna sehemu salama ya kujisitiri ni hatari kwa afya na uhai.

Juzi nimesoma kwenye habari miili ya wanaume wawili homeless huko Houston jimbo la Texss imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.

So ni bora kama huna uhakika na uendako fanya mapambano ya maisha hapa hapa nchini au nchi nyingine ambazo una uhakika wa kupata huduma za msingi za kibinadamu.
Siotuu baridi pia janga la moto wa nyika
 
Jokes aside kama una jamaa yako California karibu na Los Angeles mtafute. Kunawaka mioto mitano huko na hali bado ni tete.
 
We acha tu. Kwao 2025 imeshaanza vibaya.
Screenshot_20250109_212043_X.jpg
 
Ni vizuri kuwa diaspora ila kama huna kazi inayoeleweka huko au umeenda kinyemela na kupelekea kuishi kwa kubahatisha kiasi cha Cha kukosa makazi (homeless) hiyo ni hatari sana.

Katika kipindi hiki cha hali mbaya ya hewa huko hasa baridi kali kiasi kwamba baadhi ya majimbo yametangaza hali ya hatari kama huna sehemu salama ya kujisitiri ni hatari kwa afya na uhai.

Juzi nimesoma kwenye habari miili ya wanaume wawili homeless huko Houston jimbo la Texss imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.

So ni bora kama huna uhakika na uendako fanya mapambano ya maisha hapa hapa nchini au nchi nyingine ambazo una uhakika wa kupata huduma za msingi za kibinadamu.
Vipi Mange naye humo kwa hao homeless au?
 
Nani anafanya generalization mimi au wewe? Kwamba homeless ni immigrants 🤣 🤣

Umewahi kusikia immigrant hata mmoja tu kawa homeless US au karudi umatumbini kula vumbi kisa maisha magumu?

Nenda ubalozini kaone wamatumbi wangapi wanataka waende kiwanja wakawe homeless afu linganisha na wanaorudi kila siku kisa ugumu wa maisha afu nipe jibu.
Hawana confidence ya kurudi wengi wao wanaona aibu.
 
Jokes aside kama una jamaa yako California karibu na Los Angeles mtafute. Kunawaka mioto mitano huko na hali bado ni tete.
This is deep. Poleni sana watu wa California hali ni tete. Asante kwa update Kiranga.
 
Shida hao mahustler wanataka mafanikio ya chapchap so wanaenda huko wakiamini watafanikiwa kumbe tamaa mbele mauti nyuma. Anaweza asipigwe na baridi ila akaingia kwenye madawa ya kulevya.
Huo ni mtazamo hasi mwanaume lazima uwe na kiu ya mafanikio, na kuhama au kwenda nchi nyingine kwa ajili ya kutafuta mafanikio ni jambo jema sana na ujasiri, mtu dhaifu hataa nyumbani kwao tu anaogopa kuhama
Be a man
 
This is deep. Poleni sana watu wa California hali ni tete. Asante kwa update Kiranga.
Mungu awapiganie maana mpaka jana moto uliendelea kuunguza nyumba za watu. Ila Marekani hali ni tete yaani huku watu wanajifungia majumbani kwasababu ya baridi alaf huku watu wanazikimbia nyumba zao sababu ya moto.
 
Huo ni mtazamo hasi mwanaume lazima uwe na kiu ya mafanikio, na kuhama au kwenda nchi nyingine kwa ajili ya kutafuta mafanikio ni jambo jema sana na ujasiri, mtu dhaifu hataa nyumbani kwao tu anaogopa kuhama
Be a man
Kwani mafanikio hayapatikani hapahapa Bongo?
Kwani wakinaBakhresa, Mo na GSM walienda Marekani ndo wakafanikiwa? Vipi kuhusu wakina Mengi?
 
Back
Top Bottom