Poleni sana Wabongo ambao ni homeless huko Marekani kwa sababu baridi huko kwa sasa sio ya mchezo.

Poleni sana Wabongo ambao ni homeless huko Marekani kwa sababu baridi huko kwa sasa sio ya mchezo.

Kwani mafanikio hayapatikani hapahapa Bongo?
Kwani wakinaBakhresa, Mo na GSM walienda Marekani ndo wakafanikiwa? Vipi kuhusu wakina Mengi?
Ingekuwa kila mtu anaishi alipozaliwa hata hao kina mo na gsm usingewajua maana gsm katokea kwao yemen ndio kaja kufanikiwa huku, mo babu zake walitokea india wakaja bongo na family members wengine wapo marekani na yeye kasoma marekani, bakhressa family members wengi wapo oman , elon musk katoka kwao southafrica kaenda kutobolea marekani,
Wewe kaa hapo mbagala halafu endelea kutukana watu wenye uthubutu, acha kuogopa kutoka kwenu nenda katafute mafanikio hayaji kizembe zembe
 
Ingekuwa kila mtu anaishi alipozaliwa hata hao kina mo na gsm usingewajua maana gsm katokea kwao yemen ndio kaja kufanikiwa huku, mo babu zake walitokea india wakaja bongo na family members wengine wapo marekani na yeye kasoma marekani, bakhressa family embers wengi wapo oman , elon musk katoka kwao southafrica kaenda kutobolea marekani,
Wewe kaa hapo mbagala halafu endelea kutukana watu wenye uthubutu, acha kuogopa kutoka kwenu nenda katafute mafanikio hayaji kizembe zembe
Mkuu nitajie Mtanzania aliyepata mafanikio huko Marekani. Na kuhusiana na Elon Musk yule mama yake ni Mcanada so connection ya kwenda Marekani alikuwa nayo na huko alienda kwaajili ya masomo.
 
Mkuu nitajie Mtanzania aliyepata mafanikio huko Marekani. Na kuhusiana na Elon Musk yule mama yake ni Mcanada so connection ya kwenda Marekani alikuwa nayo na huko alienda kwaajili ya masomo.
Sawa mbona hakurudi kwa southafrica au canada? Watu wanaangalia opportunity sio kung'ang'ania sehemu kisa kwenu
Kwenye dini tunafundishwa kama unaona mambo hayaendi sehemu uliyopo ondoka hamia sehemu nyingine, fursa inafatwa
 
Sawa mbona hakurudi kwa southafrica au canada? Watu wanaangalia opportunity sio kung'ang'ania sehemu kisa kwenu
Kwenye dini tunafundishwa kama unaona mambo hayaendi sehemu uliyopo ondoka hamia sehemu nyingine, fursa inafatwa
Ndo unitajie Mtanzania aliyetoboa Marekani au South Africa.
Sisemi kwamba tusihame ila hakikisha sehemu unayotaka kwenda unasehemu ya kufikia sio unaenda kichwakichwa.
 
Mkuu nitajie Mtanzania aliyepata mafanikio huko Marekani. Na kuhusiana na Elon Musk yule mama yake ni Mcanada so connection ya kwenda Marekani alikuwa nayo na huko alienda kwaajili ya masomo.
Inategemea kwako mafanikio ni nini,maana kila mtu ana standard zake za maisha ila jua kuwa average american employee analipwa si chini ya usd 25 kwa saa yani tsh 60,000 kwa saa kwa hiyo kwa haraharaka mtu anaweza akatengeneza si chini ya 10m kwa mwezi ,huku akiishi kwenye best health care system, huku elimu ikiwa bure, na best infrastructure duniani
Huwezi kufananisha na mfanyakazi wa halmashauri hapa tanzania hata siku moja , huku kwetu kutoboa lazima uibe, huko dunia ya kwanza mtu anatoboa kwa mshahara tu halali nsio tofauti ilipo, kwanza tusiwe tu tunabishana ushaenda nchi gani ya dunia ya kwanza ili tujue unaongea from which angle
Maana kama umeishi maisha yako yote ileje huweI kumuelewa mtu aliyoenda kutafuta maisha japana au marekani
 
Inategemea kwako mafanikio ni nini,maana kila mtu ana standard zake za maisha ila jua kuwa average american employee analipwa si chini ya usd 25 kwa saa yani tsh 60,000 kwa saa kwa hiyo kwa haraharaka mtu anaweza akatengeneza si chini ya 10m kwa mwezi ,huku akiishi kwenye best health care system, huku elimu ikiwa bure, na best infrastructure duniani
Huwezi kufananisha na mfanyakazi wa halmashauri hapa tanzania hata siku moja , huku kwetu kutoboa lazima uibe, huko dunia ya kwanza mtu anatoboa kwa mshahara tu halali nsio tofauti ilipo, kwanza tusiwe tu tunabishana ushaenda nchi gani ya dunia ya kwanza ili tujue unaongea from which angle
Maana kama umeishi maisha yako yote ileje huweI kumuelewa mtu aliyoenda kutafuta maisha japana au marekani
Mkuu nakubali sijawahi kwenda Marekani lakini siyo kila mbongo anayeenda huko atalipwa mshahara huo wengi wao huajiriwa kama watu wa usafi kwenye majumba au sehemu mbalimbali na hapo wanachukuliwa kama vibarua. Yaani kiufupi wengi wao wanaishi maisha ya kubangaiza.
 
M
Inategemea kwako mafanikio ni nini,maana kila mtu ana standard zake za maisha ila jua kuwa average american employee analipwa si chini ya usd 25 kwa saa yani tsh 60,000 kwa saa kwa hiyo kwa haraharaka mtu anaweza akatengeneza si chini ya 10m kwa mwezi ,huku akiishi kwenye best health care system, huku elimu ikiwa bure, na best infrastructure duniani
Huwezi kufananisha na mfanyakazi wa halmashauri hapa tanzania hata siku moja , huku kwetu kutoboa lazima uibe, huko dunia ya kwanza mtu anatoboa kwa mshahara tu halali nsio tofauti ilipo, kwanza tusiwe tu tunabishana ushaenda nchi gani ya dunia ya kwanza ili tujue unaongea from which angle
Maana kama umeishi maisha yako yote ileje huweI kumuelewa mtu aliyoenda kutafuta maisha japana au marekani
Na tsh60,000 kwasaa unaweza ona ni nyingi lakini gharama za kuishi Marekani zipo juu kuliko za kuishi hapa bongo.
 
M
Na tsh60,000 kwasaa unaweza ona ni nyingi lakini gharama za kuishi Marekani zipo juu kuliko za kuishi hapa bongo.
Hiyo ni kweli nchi zote za dunia ya kwanza zina mifumo imara kwahiyo wote wanalipa kodi ingawa wao kodi yao wanaiona kwa kupewa huduma bora
Huku mshahara na vipato ni vidogo ili uishi vizuri lazima uwe mwizi we chunguza hata ndugu zako walioajiriwa wanaishi kwa wizi wizi tu na rushwa
Otherwise vipato vya dunia ya kwanza ni vikubwa mnoooo asikudanganye mtu toka nenda kapambane ukipata opportunity
Mimi nina rafiki zangu na ndugu zangu wapo marekani, wameajiriwa na wengine wamejiajiri nikikwama ukipiga simu moja tu mtu anakukopesha 20m bila ya kelele , nitafutie muajiriwa wa bongo hata ndugu yako kama ataweza hata kukukopesha hiyo hela
Na hapa bongo wote wana properties za maana mmoja juzi kanunua nyumba masaki na ni muajiriwa tu marekani ,ni nurse tu, haya nitafutie nurse wa muhimbilimwenye hata akiba ya 10m bank?
 
Hiyo ni kweli nchi zote za dunia ya kwanza zina mifumo imara kwahiyo wote wanalipa kodi ingawa wao kodi yao wanaiona kwa kupewa huduma bora
Huku mshahara na vipato ni vidogo ili uishi vizuri lazima uwe mwizi we chunguza hata ndugu zako walioajiriwa wanaishi kwa wizi wizi tu na rushwa
Otherwise vipato vya dunia ya kwanza ni vikubwa mnoooo asikudanganye mtu toka nenda kapambane ukipata opportunity
Mimi nina rafiki zangu na ndugu zangu wapo marekani, wameajiriwa na wengine wamejiajiri nikikwama ukipiga simu moja tu mtu anakukopesha 20m bila ya kelele , nitafutie muajiriwa wa bongo hata ndugu yako kama ataweza hata kukukopesha hiyo hela
Na hapa bongo wote wana properties za maana mmoja juzi kanunua nyumba masaki na ni muajiriwa tu marekani ,ni nurse tu, haya nitafutie nurse wa muhimbilimwenye hata akiba ya 10m bank?
Sasa hao walikuwa na connection ndo maana wana survive huko sasa wewe ulitaka mtu asiyekuwa na connection aende huko kwasababu ni "hustler".
Alaf mtoto wa kiume punguza kuomba hela kwa ndugu na marafiki yaani unajisifia kabisa umekopeshwa millioni20.
 
Sasa hao walikuwa na connection ndo maana wana survive huko sasa wewe ulitaka mtu asiyekuwa na connection aende huko kwasababu ni "hustler".
Alaf mtoto wa kiume punguza kuomba hela kwa ndugu na marafiki yaani unajisifia kabisa umekopeshwa millioni20.
Kama huna watu ambao mnaweza kukopeshana au kusaidiana hela nyingi bado una safari ndefu sana kwenye maisha
Lugumi amesema manji alimkopesha usd 40,000 , jiulize wewe kwenye circle yako una watu kama hao au mkikutana mnapiga umbeya tu
 
Hawana confidence ya kurudi wengi wao wanaona aibu.

Aibu ya nini kwa kipi wabongo walichowazidi hasa?

Mtu utoke kula vumbi urudi tena kula vumbi utakua sio mzima.

Unajua remittances wanazotuma diaspora/homeless bongo kwa mwaka? Ni hela ya kuendesha bajeti ya wizara kadhaa hapo Tanganyika. Hao ndo homeless wa kiwanja endelea kujifariji.
 
Shida hao mahustler wanataka mafanikio ya chapchap so wanaenda huko wakiamini watafanikiwa kumbe tamaa mbele mauti nyuma. Anaweza asipigwe na baridi ila akaingia kwenye madawa ya kulevya.

Bongo hakuna madawa? Chid benz, Hawa, Lord Eyez, RayC, Langa nk walikua Marekani?

Mnajua hao diaspora/homeless wanatuma kiasi gani kwa mwaka? Kama wanatuma hela nyingi hivyo ni bora kuwa homeless kiwanja kuliko bongo.
 
Ni vizuri kuwa diaspora ila kama huna kazi inayoeleweka huko au umeenda kinyemela na kupelekea kuishi kwa kubahatisha kiasi cha Cha kukosa makazi (homeless) hiyo ni hatari sana.

Katika kipindi hiki cha hali mbaya ya hewa huko hasa baridi kali kiasi kwamba baadhi ya majimbo yametangaza hali ya hatari kama huna sehemu salama ya kujisitiri ni hatari kwa afya na uhai.

Juzi nimesoma kwenye habari miili ya wanaume wawili homeless huko Houston jimbo la Texss imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.

So ni bora kama huna uhakika na uendako fanya mapambano ya maisha hapa hapa nchini au nchi nyingine ambazo una uhakika wa kupata huduma za msingi za kibinadamu.
Bila shaka Kiranga na Maghayo wanapitia hii hali yakuwa homeless baada ya kufukuzwa na mabibi ya kizungu
 
Back
Top Bottom