jimbo la Houston imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.
Nahisi huyo alimaanisha jimbo la Texas. Kwakuwa Houston ipo Texas.Hakuna jimbo la Houston.
Waliofariki ni wabongo/diaspora?
Bongo watu hawafi?
Jielimishe, barafu haipo Marekani yote kuna sehemu nyingi tu hakuna snow. California kuna wildfire hivi sasa if you know anything about wildfires.
Western countries zina mazingira hatarishi zaidi kwa human survival zaidi ya Africa. Tanzania kulala nje starehe, Marekani kulala nje ni kifo sababu ya baridi kali. Na kwa Mwafrika aliye-adapt kuishi mazingira joto atakufa haraka zaidi.Mbona haya mateso ni kawaida hata hapa nyumbani yapo wewe utakua sio hasola au umekuzwa na singo maza full kudekezwa tu.
Hakuna Homeless Tanzania. In fact, ukikuta mtu analala nje basi jua kajitakia au ni mwizi. Yes, kulala nje. Sababu ukienda Marekani "Homeless" ina maana tofauti kabisa zaidi ya kulala nje.Matatizo yanayoikabili afrika ni makubwa mno kuliko hiyo baridi ya USA tatizo ni kwamba tumeyazoea hayo matatizo
Ukienda maeneo ya stand kuu kama mbezi nyegezi n.k Kila siku wanaokota maiti za homeless ila ni vile sio big deal ndio maana tunaona USA wanateseka wakati in real sense wanamaisha mazuri sana
Mengine ni kuyaacha yapite tuMkuu homeless wa huku ni wakujitakia mtu anatoka zake kijijini anakuja dar kichwakichwa hana ili wala lile na homeless wa huku magonjwa ndo yanawamaliza sio kama wa Marekani ambao wanagandishwa na baridi kali.
Ifike mahali singo maza wamalize tofauti zao na hawa vijana wa kitanzania🤣🤣🤣Mbona haya mateso ni kawaida hata hapa nyumbani yapo wewe utakua sio hasola au umekuzwa na singo maza full kudekezwa tu.
Nahisi huyo alimaanisha jimbo la Texas. Kwakuwa Houston ipo Texas.
Houston Texas.Hakuna jimbo la Houston.
Waliofariki ni wabongo/diaspora?
Bongo watu hawafi?
Jielimishe, barafu haipo Marekani yote kuna sehemu nyingi tu hakuna snow. California kuna wildfire hivi sasa if you know anything about wildfires.
Hainiondolei credibility yoyote hayo ni makosa ya kawaida, itaniondoleaKusema jimbo la Houston kunamuondolea credibility. Huwezi sema mkoa wa Moshi au Songea, can you?
Uzuri wa maisha ni nini ? Na kama mtu kazoea maisha magumu si ameridhika hence ana furaha ? Case in Point.., Nilikuwa naongea na jamaa mmoja mzungu huko UK...,alikuwa anaangalia zile picha za watoto wa kiafrika wamepauka, wapo vifua wazi na peku huku wanashangaa lakini wana bonge la tabasamu..., basi akawa ananiambia duh masikini mtoto huyu na hizi shida..., Basi kimoyo moyo nikasema ungejua huyu anafuraha maradufu kuliko wewe au jamaa zako wote (yupo free) sio mtoto wako huyo amerudi kutoka shule (kaondoka giza karudi giza) akifika amefungiwa ndani sehemu ya kucheza na wenzake akitoka hapa hakuna kuna barabara maisha yake ni full stress tangia umri mdogo...., na kama ni mweusi au half caste anajishitukia kwamba anabaguliwa au ni second class.....Matatizo yanayoikabili afrika ni makubwa mno kuliko hiyo baridi ya USA tatizo ni kwamba tumeyazoea hayo matatizo
Ukienda maeneo ya stand kuu kama mbezi nyegezi n.k Kila siku wanaokota maiti za homeless ila ni vile sio big deal ndio maana tunaona USA wanateseka wakati in real sense wanamaisha mazuri sana
Ni vizuri kuwa diaspora ila kama huna kazi inayoeleweka huko au umeenda kinyemela na kupelekea kuishi kwa kubahatisha kiasi cha Cha kukosa makazi (homeless) hiyo ni hatari sana.
Katika kipindi hiki cha hali mbaya ya hewa huko hasa baridi kali kiasi kwamba baadhi ya majimbo yametangaza hali ya hatari kama huna sehemu salama ya kujisitiri ni hatari kwa afya na uhai.
Juzi nimesoma kwenye habari miili ya wanaume wawili homeless huko Houston jimbo la Texss imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.
So ni bora kama huna uhakika na uendako fanya mapambano ya maisha hapa hapa nchini au nchi nyingine ambazo una uhakika wa kupata huduma za msingi za kibinadamu.
Mamtoni ilihali unaishi kama ndege 🤣Kwao hawateseki
Pamoja na baridi kali, si wapo mamtoni?
Africa na Tanzania tuna majanga miaka ywtu yoote tangu Uhuru .....ujinga maradhi na umaaikini wa kupindukia......hayo huyaoni ? Zaidi 70% population wanaiahi mlo mmoja tu.....na nyumba moja watu wanasongamana kitanda hata watu 3.....hawana hope yeyote zaidi wataiahia kuuza rasilimali......Ni vizuri kuwa diaspora ila kama huna kazi inayoeleweka huko au umeenda kinyemela na kupelekea kuishi kwa kubahatisha kiasi cha Cha kukosa makazi (homeless) hiyo ni hatari sana.
Katika kipindi hiki cha hali mbaya ya hewa huko hasa baridi kali kiasi kwamba baadhi ya majimbo yametangaza hali ya hatari kama huna sehemu salama ya kujisitiri ni hatari kwa afya na uhai.
Juzi nimesoma kwenye habari miili ya wanaume wawili homeless huko Houston jimbo la Texss imeokotwa stand tayari wamepoteza uhai.
So ni bora kama huna uhakika na uendako fanya mapambano ya maisha hapa hapa nchini au nchi nyingine ambazo una uhakika wa kupata huduma za msingi za kibinadamu.
Haya majanga yanaepukika endapo waafrika tukijitambua usiyafananishe na majanga kama winter storms na forest fire ambazo hazizuiliki.Africa na Tanzania tuna majanga miaka ywtu yoote tangu Uhuru .....ujinga maradhi na umaaikini wa kupindukia......hayo huyaoni ? Zaidi 70% population wanaiahi mlo mmoja tu.....na nyumba moja watu wanasongamana kitanda hata watu 3.....hawana hope yeyote zaidi wataiahia kuuza rasilimali......
Lakini haibadilishi ukweli kuwa homeless wengi wa Kiafrika wanakufaAfrica na Tanzania tuna majanga miaka ywtu yoote tangu Uhuru .....ujinga maradhi na umaaikini wa kupindukia......hayo huyaoni ? Zaidi 70% population wanaiahi mlo mmoja tu.....na nyumba moja watu wanasongamana kitanda hata watu 3.....hawana hope yeyote zaidi wataiahia kuuza rasilimali......
Ni mkuu hayo ni Natural hayazuiliki ni hatari sana mfano kimbunga kilichoHaya majanga yanaepukika endapo waafrika tukijitambua usiyafananishe na majanga kama winter storms na forest fire ambazo hazizuiliki.