Kwa hili MAKALA namlaumu sana anatakiwa kufukuzwa maana kama wametoa mwezi halafu unavunja usku wa manane na mali za watu unachukua!..
Nadhani nimekuelewaMakala anajua analofanya
Muda utasema
Shukrani mkuuNadhani nimekuelewa
wamachinga walitumika sana kumtukana Lisu na upinzani kwa ujumla....walimuona mwendazake na makonda kama masihi wao.Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015...
Siku zote kitambaa cha kaniki kitabakia kuwa kaniki tu.
Wamachinga walidanganywa sana na mwendazake kuwa ccm inawajali sana hivyo wakaingia mkenge na kuisapoti mwaka 2015.
Leo hii yule bwana hayupo tayari wameanza kilio cha samaki .
Nawashauri wajue kuwa ccm haijawahi kuwa na huruma .
View attachment 1949458
Leo ccm mnasema Wamachinga hawafai?Wapinzani tunazingua kila kitu siasa, Wamachinga hawafai
wewe uvccm tangu lini ukawa upinzani?Wapinzani tunazingua kila kitu siasa, Wamachinga hawafai